UZINDUZI WA ‘MAMA WA HIYARI’ ULIKUWA MOTOOO!
Kundi la First Class Modern Taarab la jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo limezindua albamu yake ya kwanza iitwayo Mama wa hiyari.
Uzinduzi huo uliofanyika Travertine Hotel iliyopo Magomeni jijini Dar ulihudhuriwa na umati wa mashabiki wakiwemo wakongwe wa muziki huo akiwemo Sabaha Salum Muchacho, Bi. Mwanahawa Ally, Mwanamtama Amiri na wengine wengi.
Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Vingunguti, Omary Kumbiramoto.
Matukio katika Picha:
PICHA: RICHARD BUKOS / GPL
Comments are closed.