Video: Ibada Ya Kumuaga Brigedia Maganga Nyumbani Kwake Dar
IBADA Ya Kumuaga Brigedia Jenerali Mstaafu, Emmanuel Maganga ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma amefariki Dunia Januari 21, 2021 Mkoani Tabora imefanyika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.