VIDEO: Tutawashughulikia Wote, Hata Watoto wa Vigogo – AWESO
Share
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso, amesema Serikali haitamnyamazia na itamchukulia hatua kali mtu yeyote awe ni mtoto wa kigogo, Mhandisi au Wakandarasi ambao wanasababisha kukwama kwa miradi ya maji nchini.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.