VILIO, simanzi na majonzi vimetawala wakati wa kuaga mwili wa mdogo wa Mwandishi na Mpigapicha Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers, Richard Bukos, marehemu Merry Bukos aliyezikwa leo Desemba 30, katika Makaburi ya Makulumra yaliyopo Mburahati jijini Dar es Salaam.
Marehemu Mary aliyefariki dunia Desemba 28 kwa kuugua ghafla, umezikwa baada kuagwa nyumbani kwao Mburahati jijini Dar es Salaam na kuzikwa katika Makaburi hayo.
NA ISSA MNALLY | GLOBAL PUBLISHERS
Comments are closed.