Vodacom Watoa Bima za Afya 200 Kwa Wanawake, Watoto na Zawadi Kibao
Vodacom yakabidhi bima kubwa ya bure kwa akina mama na watoto wachanga 200 kupitia VodaBima pamoja na zawadi mbalimbali ikiwemo pesa taslimu ya shilingi milioni 10 visiwani Zanzibar.