The House of Favourite Newspapers

Wakazi wa Arumeru Wanavyotaabika na Ukame, Hali Inatisha! (Video)

0
Watoto wakisukuma mkokoteni wenye ndoo za maji.

UHABA mkubwa wa maji umeyakumba baadhi ya maeneo mkoani Arusha ambapo wananchi wanalazimika kuamka saa tisa usiku na kutembea umbali mrefu kufuata maji kwenye makorongo na visima.

Mifugo ikitaabika kupata malisho.

Hali hiyo imemlazimu mkuu wa mkoa huo, Mrisho Gambo kufunga safari mpaka kwenye maeneo hayo ambapo amegundua kuwepo kwa madudu mengi, likiwemo la wananchi kuchangishwa fedha kwa ajili ya miradi ambayo haikamiliki.

Wanawake wakitoka kutafuta maji.

 

Mashamba yamekauka.

 

Ukame.

 

Ni taabu kuyapata maji.

 

Wananchi wakieleze hali halisi ilivyo.

 

Kiongozi wa Kijiji cha Ngorbob akifunguka.

 

Ofisi ya Kijiji cha Ngorbob.

 

NA HILALY DAUDI | GLOBAL TV|  ARUSHA

SIKILIZA KILIO CHA WANANCHI HAO

Breaking News: Jambazi Aliyeongoza Mauaji ya Polisi 8 Kibiti Auawa -Dar

Leave A Reply