Walichokifanya Simba Kabla Ya Mechi Ya JS Saoura Taifa – Picha
Wachezaji wa Timu ya Simba kabla ya mchezo wa jana Jumamosi dhidi ya JS Saoura kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam walifanya mazoezi ya kujiweka sawa kabla ya mechi hiyo.
SIMBA waliwaonyesha Waarabu JS Saoura kuwa wao sio wa mchezomchezo baada ya kuwazamisha kwa mabao 3-0.
Picha: Sweetbert Lukonge, Musa Mateja na Richard Bukos, GPL
Comments are closed.