BurudaniCelebrities Wasanii Watakaokiwasha Fiesta Mwanza Watembelea Tigo Last updated Sep 28, 2019 Share Msanii bongofleva Billnass akisajili laini yake kwa mfumo wa alama za vidole alipotembelea duka la Tigo eneo la Samaki barabara ya Stesheni jijini Mwanza.Mapema leo kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Tigo Fiesta 2019_Saizi yako Jijini Mwanza. Msanii wa Nyimbo za Injili Goodluck Gozbert akiwa Pamoja na msanii chipukizi wa Bongofleva Badest walipofika kusajili laini zao kwa alama za vidole na kuona huduma mbali mbali duka la Tigo eneo la Samaki barabara ya Stesheni jijini Mwanza Msanii bongofleva kutoka kundi la Weusi Gnako akisajili laini yeke kwa mfumo wa alama za vidole pembeni yake ni Meneja Huduma kwa wateja kanda ya ziwa Beatrice Kinabo. Wasanii watakaotumbuiza katika tamaha la Tigo Fiesta 2019 _Saizi yako Jijini Mwanza wakiwa katika picha ya Pamoja Share
Comments are closed.