HabariKitaifa Washindi wa Tigo Jigiftishe Moshi, Arusha wakabidhiwa fedha zao Last updated Dec 5, 2018 Share Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa Kilimanjaro Wolfgan Miraro akimkabidhi mfano wa Hundi ya Shilingi milioni moja mmoja wa washindi wa Promosheni ya Jigiftishe, Yussuph Miraro, kutoka mkoani Arusha. Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa Kilimanjaro Wolfgan Miraro akimkabidhi mfano wa Hundi ya Shilingi milioni moja mmoja wa washindi, Hilda Lema, wa Promosheni ya Jigiftishe mkazi wa Moshi mkoani Kilimanjaro. Mratibu wa Usambazaji na Tigo Pesa Mkoa wa Kilimanjaro Wolfgan Miraro akimkabidhi Mkazi wa Moshi mjini, mkoani Kilimanjaro Albina Mmbaga mfano wa Hundi ya Shilingi milioni moja baadaya kufanikiwa kuibuka mshindi wa Promosheni ya Jigiftishe. Wakiwa katika picha ya pamoja. Tigo Share
Comments are closed.