KATIKA kusherehekea sikukuu ya Krismasi watoto jijini Dar es Salaam na vitongoji vyake leo wamesherehekea kwa furaha kubwa katika Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem.
Ndani ya kiota hicho cha burudani, watoto walipata fursa ya kuogelea katika bwawa maalum lililomo ndani ya ukumbi huo ambapo walishindana pia katika kuimba nyimbo za wasanii na michezo mbalimbali ya kubembea.
NA DENIS MTIMA/GPL
Comments are closed.