The House of Favourite Newspapers

Watu 26 wameripotiwa kufariki China leo

0


CntRzvsXYAkxG_r

Basi la watalii lililowaka moto likiwa barabarani wakielekea uwanja wa ndege wa Taoyuan, Taiwan, China. 

578dcc6ac46188307b8b4584

Wakiendelea kuzima moto huo.

Watu 26 leo wameripotiwa kufariki kwenye ajali ya basi la watalii lililowaka moto likiwa barabarani wakielekea uwanja wa ndege wa Taoyuan, Taiwan, China.

Leave A Reply