Basi la watalii lililowaka moto likiwa barabarani wakielekea uwanja wa ndege wa Taoyuan, Taiwan, China.
Wakiendelea kuzima moto huo.
Watu 26 leo wameripotiwa kufariki kwenye ajali ya basi la watalii lililowaka moto likiwa barabarani wakielekea uwanja wa ndege wa Taoyuan, Taiwan, China.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.