Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ianze kusikiliza mfululizo kesi inayomkabili muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’, wazee wa Baraza la mahakama hiyo leo wametoa maoni yake kuwa Lulu alimuua Kanumba bila kukusudia.
Muigizaji, Lulu ambaye yupo nje kwa dhamana anakabiliwa na kesi ya kumuua aliyekuwa muigizaji wa filamu, Steven Kanumba bila kukusudia. Lulu anadaiwa kutenda kosa hilo Aprili 7,2012, nyumbani kwa Kanumba, Sinza Vatican jijini Dar es Salaam.
Jaji Rumanyika ameiahirisha kesi hiyo hadi Novemba 13 mwaka huu ambapo Mahakama hiyo itatoa hukumu.
PICHA : RICHARD BUKOS / GPL
Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja na Namba Moja Tanzania ya Global Publishers
Android ===>Google Play
iOS ===>Apple Store
==