WEMA, MANARA WATOA POLE KWA FAMILIA YA ZAKARIA
MWIGIZAJI wa filamu, Wema Sepetu na Mkuu wa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara, wamewaomgoza wasanii na watu mbalimbali kutoa pole kwa familia ya marehemu Patrick, Peter Zacharia na mke wake Rose Alphonce ‘Muna Love’, katika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam ambapo maelfu ya waombolezaji, ndugu, jamaa na marafiki wamefika kuungana na wazazi wa marehemu.
(PICHA: RICHARD BUKOS, GPL)
Comments are closed.