Habari MASTAA WAMUAGA PATRICK WA MUNA Last updated Jul 7, 2018 Share Muigizaji wa filamu, Wema Sepetu, (kulia) akiuaga mwili wa Patrick. Mchekezaji Emmanuel Mgaya “Mkandamizaji’ akiaga. Mwimbaji na muigizaji maarufu, Hemed ‘Phd’ Suleiman (kulia). Mwigizaji na mshereheshaji, Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’. Mkuu wa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara (kulia). Mwigizaji Kulwa Kikumba a.k.a Dude Mfanyakazi wa Global Publisher, Musa Mateja. Mwigizaji Juma Chikoka. Mastaa mbalimbali wamejitokeza kuuaga mwili wa mtoto wa mwigizaji Muna, Patrick, katika viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam. PICHA: RICHARD BUKOS | GPL MASTAA WA BONGOMSIBA WA PATRICKmuna loveWema Sepetu Share
Comments are closed.