The House of Favourite Newspapers

Yanga Wamtambulisha Mrithi Wa Mayele, Hafiz Konkoni Kutoka Ghana – (Picha +Video)

0

Klabu ya Yanga imethibitisha kumsajili mshambuliaji Hafiz Konkoni kutoka klabu ya Bechem United inayoshiriki ligi kuu nchini Ghana.

Konkoni (23) raia wa Ghana ambaye alikuwa anahusishwa na klabu ya Al Hilal ya Sudan anatua klabuni hapo kama mrithi wa Fiston Mayele.

Msimu uliopita katika Ligi Kuu Nchini Ghana Konkoni alifunga magoli 15 kwenye mechi 26 na kutoa assist 3 huku akimaliza nafasi ya pili kwenye kinyang’anyiro cha tuzo ya mfungaji bora.

CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii! ======================== Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰 ============================================================ ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected]

Leave A Reply