Yanga Yafanya Mazoezi Uwanja wa Uhuru
Kikosi cha Yanga, kimeendelea na mazoezi yao ya kawaida kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wao ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya Ruvu Shooting.
(PICHA: MUSA MATEJA | GLOBAL PUBLISHERS)
Comments are closed.