The House of Favourite Newspapers

Young killer:Nilikuwa Nikimtazama Nature Kwenye Video

0

young kila Erick Msodoki ‘Young Killer

Na Chande Abdallah

MSANII wa Hip Hop anayefanya vizuri na wimbo wake wa Popote Kambi aliomshirikisha Juma Nature, Erick Msodoki ‘Young Killer’ amefungukia furaha yake kufanya kazi na mkongwe Juma Nature kwa kuwa amekuwa akimtazama kupitia televisheni tangu akiwa mdogo.

Akipiga stori na paparazi wetu, Young Killer alisema kuwa furaha yake ilitimia pale alipofanya naye ngoma ambayo kwa sasa mapokezi yake ni makubwa tofauti na mwanzoni.JUMA n

Juma Nature

“Unajua mtu kama Nature nimekua mtaani nikimuona tu kwenye video. Nimeandika sana mistari yake kwenye madaftari yangu, hivyo kumshirikisha mtu kama yeye kwangu ni furaha sana,” alisema Young Killer.

Leave A Reply