The House of Favourite Newspapers

VIDEO: HARMONIZE FEAT MAGUFULI KWANGWARU REMIX

Msanii wa Bongo Fleva, Rajab Kahali ‘Harmonize’ ameachia ngoma mpya ya ‘KWANGWARU REMIX’ ndani ya video hiyo ameeleza kufurahishwa kwake na maendeleo yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli kwa wananchi.

Comments are closed.