Rais Uhuru Kenyatta apokea Tausi wanne Aliopewa na Rais Magufuli
Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Pindi Chana, August 2, 2019 amemkabidhi Rais Uhuru Kenyatta zawadi ya Tausi 4 aliyopewa na Rais Magufuli alipomtembelea Chato.
Akipokea Tausi hao Kenyatta amesema hiyo ni ishara tosha ya umoja, upendo na undugu uliopo kati ya Kenya na Tanzania.
Comments are closed.