The House of Favourite Newspapers

MICHEZO MBALIMBALI YAENDELEA GYMKHANA

0


Mwenyekiti wa Klabu ya Gymkhana, Walter Chipeta (kulia) akikabidhi kikombe kwa nahodha wa timu ya mpira wa miguu wa klabu ya Gymkhana Ali Mmandi (mwenye jezi ya kijani) baada ya timu yake kuibuka kidedea katika michuano ya kuelekea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 100 ya klabu hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Gymkhana jana jijini Dar es salaam.

Kapteni wa Mchezo wa Snooker wa Klabu ya Gymkhana, Shaizad Bhanji akishiriki katika mashindano ya kuelekea katika kilele cha maadhimisho ya miaka 100 ya klabu hiyo katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es salaam hivi karibuni.

Michuano ya mpira wa miguu ikiendelea

Leave A Reply