The House of Favourite Newspapers

UHAKIKI WA RIWAYA: TAKADINI (Sehemu ya Pili)

0
UHAKIKI WA RIWAYA: TAKADINI (sehemu ya pili)
Takadini

UJUMBE

Mafunzo yanayopatikana katika riwaya ya TAKADINI ni:

  1. Walemavu wana haki ya kuishi kama watu wengine. Asitokee mtu yeyote wa kuyakatisha maisha ya mlemavu kwa sababu ya imani potofu.
  2. Mlemavu anaweza akafanya mambo yenye faida kwa jamii, pengine kuzidi wasio walemavu. Takadini aliisaidia jamii yake, kijana huyu alikuwa muimbaji mzuri pia alikuwa mganga aliyetibu wagonjwa mbalimbali.
  • Ujasiri unahitajika katika kupambana na imani potofu. Sekai anatumia ujasiri kupambana na mila potofu zilizotaka mwanaye auawe. Katika wakati huu mgumu, anaibuka mshindi aliyezipiku na kuziangusha mila hizo… SOMA ZAIDI
Leave A Reply