The House of Favourite Newspapers

Nisha Awaonya Wanaomkashifu Lulu

0
Msanii wa Filamu za Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’.

MSANII wa Filamu za Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amewaonya watu wanaompiga vijembe msanii mwenzake, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye anakabiliwa na kesi ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa muigizaji, Steven Kanumba.

 

Nisha aliiambia Full Shangwe kuwa, kwa kipindi kigumu alichonacho Lulu si cha kumnanga bali cha kumpa faraja.

 

“Tangu kesi ya Lulu ianze upya kusikilizwa, kuna watu wamekuwa wakimkashifu kwa maneno ya ajabu, bila kujua kuwa hakuna ajuaye ya kesho. Ni vyema tukampa faraja rafiki yetu kwa kipindi kigumu alichonacho,”alisema Nisha.

Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja na Namba Moja Tanzania ya Global Publishers

Android Bofya ===> Google Play

iOS Bofya ===>Apple Store

MAGAZETI: Siri Nzito ya Ushindi wa Makinikia Hii Hapa!

Leave A Reply