Mwili wa Mzee Majuto Ulivyopokewa Tanga (Picha+Video)
MAMIA ya waombolezaji jijini Tanga wamejitokeza kupokea mwili wa aliyekuwa mwigizaji nguli wa vichekesho nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’, aliyefariki Jumatano Agosti 8, 2018 saa 2:00 usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa matibabu.
Habiba, mtoto wa Majuto, akilia. Sehemu ya taswira ya waombolezaji waliofika Tanga.
TANGA: VILIO Vyatawala Mwili wa Mzee MAJUTO Ulipowasili
(PICHA: RICHARD BUKOS | GPL)
Comments are closed.