KATIBU Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, amepata ajali jimboni Nanyamba mkoani Mtwara ambako alikwenda kumnadi mgombea wa ubunge wa Jimbo hilo, Colleta Kadinda.
Hata hivyo, yuko salama na amewahishwa hospitali kwa matibabu.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.