MSANII nguli wa muziki kutoka Africa Kusini, AKA, ametua Bongo mapema leo na kufikia katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo Masaki jijini Dar es Salaam.
Kitu kikumbwa kilichomleta AKA Bongo ni kusheherekea birthday yake na alipozungumza na waandishi wa habari amesema yupo katika mikakati ya kufanya ngoma na Diamond na Harmonize kutoka WCB.
Comments are closed.