Akiba Commercial Bank Washerehekea Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja
5.Oktoba.2022: Dar es Salaam;
Akizungumza katika kusherekea
Kauli mbiu ya maadimisho ya
Benki ya Akiba Commercial
Akiendelea kuzungumza Mkurugenzi Mtendaji wa Akiba Commercial Bank bwana Silvest Arumasi alisema wateja wengi waliomba kuongezewa idadi ya mawakala na mawakala hao wameongezwa na kufikia idadi ya jumla ya mawakala 2000 na zaidi.
‘’Huduma nyingine iliyoingia sokoni ni bima ya maisha, rasilimali,vikundi n.k ambazo zitapatikana katika matawi yetu yote na fidia hutolewa kwa muda mfupi. Benki pia imepanua wigo wake na kuwafikia wateja wakubwa na taasisi za umma ambapo huduma
Kwa kuzingatia umuhimu wa
Mmoja wa wateja wa Akiba Commercial Bank, Bwana Issa Nkya ambaye ni Mkurungezi wa Mabasi ya Happy Nation benki hiyo kwa. kuwathamini wateja wake na kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja na pia kufanya uboreshaji katika huduma zake mbalimbali ikiwemo uboreshwaji katika huduma za miamala ya fedha na kuongeza idadi ya mawakala ambazo huwasaidia katika majukumu yao ya kila siku.
Mwisho, kabisa alimaliza kwa
‘’Napenda kusema kuwa pamoja
Hivyo anawakaribisha wote katika maadhimisho haya ya wiki ya huduma kwa wateja kwa kusema ‘Celebrate Service’ au ‘Furahia Huduma’.