The House of Favourite Newspapers

Amani yatawala vituo vya Nzasa, Kentoni, Ustawi wa jamii na Mpakani ‘A’ Dar

0
Mmoja wa wakazi wa Kijitonyama mpakani akipiga Kura yake
KITUO CHA KUPIGIA KURA NZASA
Baadhi ya wakazi wa Mtaa wa Nzasa wakiwa wanangoja kupiga Kura
Bado wakazi wa Nzasa wanangoja kupiga Kura
Baadhi ya wakazi wakihakiki majina yao ili kujua wanatakiwa wakae sehemu gani kabla ya kupiga kura
Ulinzi pia ukiwa umeimarishwa hali ni Shwari
Wengine wanaamua kungojea pembeni kidogo
Leo shughuli zimesimama kupisha uchaguzi mkuu
KITUO CHA KUPIGIA KURA CHA  KENTON
Baadhi ya wakazi wakihakiki majina yao kabla ya kuingia kwa ajili ya kupiga Kura 2015
Baadhi ya watu wakiwa wamepanga mistari kwa ajili ya kungoja kupiga kura
Kutokana na Foleni kuchangamka Baadhi yao wanaonekana kupumzika chini
Watu mbalimbali wakingojea kupiga Kura
watu wengi kituo cha Kenton
Waliokuwa wakichati wakachati sana kuperuzi na wengine wakawa bizee bizeee na kusoma Magazeti huku wakingojea Kupiga Kura
KITUO CHA KUPIGIA KURA CHA USTAWI WA JAMII
Hapa ni Chuo cha Ustawi wa Jamii ambapo pia kuna watu wamejitokeza kwa wingi kupiga Kura
Bado wanaendelea kungojea
Wengine wamekaa wakisubili kupiga Kura
Baadhi yao wamesimama Pembeni wakingoja pia kupiga Kura
Mmoja ya wazee akiwa anasaidiwa kutembea kwenda kupiga Kura
KITUO CHA KUPIGIA KURA CHA  MPAKANI A KIJITONYAMA
Wananchi wakiwa wamejitokeza kwa wingi kupiga kura katika kituo hiki cha Mpakani Kijitonyama
Kazi zikiwa zinaendelea
Umati wa watu ni Mkubwa lakini watu wanaendelea kungoja wapige Kura

Mmoja ya akinamama akiwa anapigia tiki viongozi ambao anawataka.
Picha zote na Fredy Njeje-Blogs za Mikoa Tanzania
Leave A Reply