KARIBU Utazame '255 FRONT PAGE' Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja na yale yaliyojiri katika kurasa za magazeti mbalimbali ya hapa nchini... ⚫️ Kwa…
Hatima ya Rais wa Guinea Alpha Condé haijulikani wazi baada ya video ambayo haijathibitishwa kumuonyesha mikononi mwa wanajeshi, ambao walisema wamefanya mapinduzi.
Walakini, waziri wa ulinzi amenukuliwa akisema jaribio la…
Kampuni ya Merita Technologies Ltd ya Marekani yenye uzoefu kwenye masuala ya Teknolojia ya Mawasiliano kwa zaidi ya miaka 30 imefungua tawi lake nchini na inatarajia kuanza kutoa mafunzo kwa vijana wenye hamu ya kujifunza…
-Matumaini mapya ya kutokomeza gonjwa hilo hatari yaamsha furaha kwa wengi
-Teknolojia inayotumika ni ya kisasa na tofauti na nyingine zote zilizowahi kutumika
-Mafanikio ya chanjo za Corona ndiyo yaliyochochea kupatikana kwa chanjo ya…
TAARIFA iliyotufikia hivi punde ni kwamba wafanyakazi wawili wa Ayo TV mkoani Mwanza, wanaofahamika kwa majina ya Dullah TZA na Nelson Brigeri 'Nelly TZA' pamoja na mwenzao mmoja (ambaye si mfanyakazi wa Ayo TV) aliyefahamika kwa jina…
KOCHA Mkuu wa Simba Mfaransa, Didier Gomes atakuwa na kibarua kigumu katika kupanga kikosi chake cha kwanza katika msimu ujao.
Hiyo ni kutokana na usajili babkubwa uliofanywa wa wachezaji wapya katika kutengeneza kikosi…
KUTUA kwa aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Ibrahim Ajibu Simba kutawapa ugumu wa namba viungo wenzake Mkenya, Francis Kahata na Mzambia, Clatous Chama kwenye timu hiyo.
Ajibu na Kahata wote walijiunga kwa pamoja…
MISS KINONDONI 2019, Queen Mugesi Aynory (19) amekabidhiwa gari yake aina ya Mini Cooper (nyekundu) baada ya kuibuka mshindi usiku wa kuamkia leo Julai 14, 2019 katika ukumbi wa Life Park.
Mshindi wa pili alikuwa Prisca Kisunda,…
USIKU wa kuamkia Julai 13 lilifanyika shindano la kumsaka Miss Kinondoni katika ukumbi wa Life Park Mwenge, ambapo mlimbwende Queen Mugesi Aynory (19) ameibuka kidedea na kuvaa taji lililokuwa linashikiliwa na Queenelizabeth Makune.…
Wakati Yanga wakianza mazoezi ya pamoja Jumatatu iliyopita kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara, mshambuliaji wa Simba Mnyarwanda, Meddie Kagere naye ameanza kufanya programu binafsi ya gym pekee.
Yanga…
ANNA Maboya ni mwimbaji wa Nyimbo za Injili ambaye malengo yake makubwa ni kuona anaufikia ulimwengu kwa wakati akipaza sauti na kuimba bila kuchoka jambo ambalo limekuwa ni furaha yake muda wote.
Kwa sasa ameongozwa na…
KUMEKUCHA Yanga! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya nahodha msaidizi wa timu hiyo, Juma Abdul kudai kuwa vita ya namba msimu ujao itakuwa ni balaa kutokana na usajili wa nguvu uliofanywa na uongozi wa timu hiyo hivi karibuni.…
Muimbaji kutoka nchiniUganda Jose Chameleone akiimba kwenye stage ya bendi ya Skylight mara baada ya kupanda kwenye stage hiyo na kuwaacha mashabiki awa bendi hiyo wakitoa shangwe ya nguvu.
Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone…
Prezidaa wa Dar Musica, Jado Field Force akionesha ubora wake kazini.
Vimwana wa Dar Musica katika pozi baada ya kushuka jukwaani.
Mashabiki wakijimwaya.
Wanenguaji wakifanya manjonjo.
Shabiki huyu baada ya kukunwa alimpandia…
Afisa Masoko wa kampuni ya simu mkoa wa Morogoro, Aminata Keita akizungumza jambo wakati wa mafunzo ya ujasiliamali ya Airtel fursa kwa vijana yenye lengo la kuwapa elimu ya usajiliamali ili kujiendeleza kibiashara na kujikimu kiuchumu…
Wizkid akikonga nyoyo za mashabiki waliofurika kwenye Viwanja vya Leaders usiku wa kuamkia leo.
Akizidi kuwarusha mashabiki.
Diamond Platnumz naye akinogesha onyesho hilo.
...Akinengua na madansa wake.
Christian Bella naye…
Hans Mloli,Dar es Salaam
VITA ya mechi za wikiendi iliyopita imeshasahaulika na leo Jumatano timu 10 zitadondoka dimbani kuwania pointi tatu muhimu lakini gumzo kubwa ni kwa vigogo wa Ligi Kuu Bara, ambapo Yanga itakuwa Dar kwenye Uwanja…
Imelda Mtema
KATIKA hali ya kushangaza, msanii wa filamu asiyeishiwa vituko, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amekiri kuwa tabia zake za kulewa kila siku zinamfanya kukosa sifa za kuwa mke wa mtu.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi…
Wachezaji wa timu ya Liverpool wakimpongeza Philippe Coutinho (katikati) baada ya kufunga bao la kusawazisha dakika 45 kipindi cha kwanza katika Uwanja wa Stamford Bridge.
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp akishangilia.
Wachezaji wa…
Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri.
Waziri Mkuu wa Misri, Sharif Ismail akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Ramani ikionyesha eneo la Sinai nchini…
Akiwa chini ya ulinzi.
CHANDE ABDALLAH
SHERIA yachukuwa mkondo wake. Hilo limejidhihirisha baada ya Henry Domzalski (66), raia wa Marekani aliyedaiwa kukamatwa na madawa ya kulevya aina ya bangi mwaka 2013 nyumbani kwake Msasani Beach…
IMELDA MTEMA
WEMA Sepetu ‘Madam’ ameangusha dua ya nguvu nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar ikiwa ni maalum kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa ushindi wa rais mteule wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe…
ILIPOISHIA RISASI JUMATANO:
Waliangaliana kwanza japokuwa kulikuwa na giza zito, mama Monica akacheka kidogo kwa sauti, Magembe akaachia tabasamu. Lakini mara mlango ukagongwa kwa ustaarabu sana...
“Ngo...ngo...ngo!”
Wawili hao walikuwa…
Mwana Hip Hop mkongwe Bongo, Joseph Haule ‘Profesa Jay’ hatimaye wiki hii alifanikiwa kunyakua kiti cha Ubunge wa Jimbo la Mikumi, Morogoro kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambacho alikuwa akiwania na mgombea kutoka…
ILIPOISHIA...
“Mwanao mbishi, kama ataendelea na ubishi huu ataozea gerezani.”
“He! Kwa kosa gani?”
“Kwa lililotokea chanzo ni yeye.”
“Baba huyo mwanangu na mambo hayo wapi na wapi?”
“Kwani muuaji ni nani yake?”
“Mzazi mwenzake.”“Sasa…
Mapenzi ya dhati aliyonayo Jafet kwa Anna, yanamfanya awe tayari kufanya chochote kumsaidia msichana huyo. Licha ya tofauti kubwa ya hali zao kiuchumi, Anna akitokea kwenye familia ya kitajiri na kijana huyo akitokea kwenye familia ya…
Mtima, mtoto wa Abikanile, msichana aliyeteseka sana siku za uhai wake, kisa kikiwa ulemavu wa ngozi anafanikiwa kuufahamu ukweli juu ya asili yake ambao alifichwa kwa muda mrefu na walezi wake, bwana na bibi Johannes, walioamua kumueleza…
Mrembo anayekimbiza kwenye soko la filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ hivi karibuni ametoa dukuduku la moyoni kwamba, anachukizwa na waigizaji wa kike ambao wamekuwa wakijitengenezea skendo za kutembea na waume za watu ili kutafuta…
ILIPOISHIA:
“Sasa ushindwe mwenyewe.”
“Sijawahi kushindwa na kitu cha kibinadamu, siwezi kudra ya Mungu lakini si ya mwanadamu wala majini sijawahi kushindwa.”
“Sasa babu leo ndiyo kikao kimekaa na jina tayari limepitishwa, unafikiri hapo…
LEO ningependa tupeane ufahamu kuhusu mimba kutungwa nje ya mji wa mimba. Wanawake wengi wamekuwa wakilalamika wanasumbuliwa na tatizo hili na imefika hatua wengine wanaogopa kujihusisha na uzazi kwa sababu ya tatizo hili.
Mimba kutunga nje…
Mwigizaji Jacqueline Wolper
SIKU chache baada ya kumwagana na aliyekuwa mchumba wake, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mwigizaji Jacqueline Wolper amesema kuwa hawezi kuendelea kubaki bila mtu lakini anahitaji mtu mwenye sifa.…
Staa wa Bongo Movie, Jacob Steven JB akisalimiana na rais Jakaya Kikwete.
MWANDISHI WETU
MKONGWE kwenye sanaa ya filamu Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka kuwa rais wa awamu ya nne anayemaliza muda wake, Jakaya Kikwete anaondoka…