Amber Lulu Ateka Mashabiki Dar Live
Msanii wa Bongo Fleva na Video Queen, Amber Lulu usiku wa kuamkia leo amewateka mashabiki kwenye Tamasha la Full Dozi lililofanyika usiku wa kuamkia leo ndani ya Uwanja wa Kimataifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.