Amber Lulu Awateka Mashabiki Geita Eid El Fitr
MSANII wa Bongo Fleva ambaye pia ni muuza nyago ‘video vixen’ Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ amefanya shoo ya aina yake stejini usiku wa kuamkia leo Geita. Shoo hiyo iliandaliwa na Sports and Music Festival 2018.
Msanii huyo amewadatisha mashabiki zake baada ya kucheza na wanaume tofauti stejini huku akikata mauno.
PICHA NA AMOS NYANDUKU/GLOBAL TV GEITA
Comments are closed.