Askari Wakimpiga Mtuhumiwa Wa Ujangili, Mamlaka Yatoa Tamko-Video
Wizara ya maliasili na utalii imetoa ufafanuzi kuhusu picha ya video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha tukio la askari wa uhifadhi wakiwapiga na kuwatesa watuhumiwa wa ujangili katika pori la akiba.