Baada ya Kuhama CUF, Mtolea Aapishwa na Ndugai – Video
Aliyekuwa Mbunge mteule Abdallah Mtolea ameapishwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai kuwa Mbunge kamili wa Temeke (CCM) wakati wa kuanza kwa Kikao cha kwanza cha Mkutano wa 14 wa Bunge la 11, leo jijini Dodoma.
Novemba 15, 2018, akiwa bungeni jijini Dodoma, Mtolea alijivua uanachama na kujiuzulu nafasi yake ya Ubungena nafasi zote ndani ya CUF akidai kumekuwa na migogoro mingi ndani ya chama chake.
Comments are closed.