Baba wa Michael Jackson Hospitalini Akiumwa Saratani
Mzee Joe Jackson.
MZEE Joe Jackson, baba wa wanamuziki, hayati Michael Jackson na Janet Jackson, amelazwa hospitalini akiwa anaugua saratani ambayo madaktari wamesema hatapona.
Wanafamilia wa mzee huyo wamekuwa wakimtembelea hospitalini hapo akiwa kitandani akisubiri ugonjwa huo ambao hivi sasa uko katika hatua za mwisho.
Comments are closed.