Benard Paul ‘Ben Pol’
Stori: Mwandishi Wetu
Mwanamuziki wa RnB Bongo, Benard Paul ‘Ben Pol’ hivi karibuni alimfanyia ‘sapraizi’ Mwanamuziki wa Hip Hop, Farid Kubanda ‘Fid Q’ baada ya kumtumia audio ya ngoma yake mpya iitwayo Moyo Mashine akitaka atoe maoni yake kabla ya kuuachia kwenye media.
Farid Kubanda ‘Fid Q’
Akipiga stori na gazeti hili Ben Pol alisema baada ya kumtumia Fid Q wimbo huo ambao mashairi yake yaliandikwa na Goodluck Gozbet ‘Lolly Pop’ huku audio ikifanya na Kid Bway, alionesha kushangazwa na idea nzima ya wimbo kiasi kwamba akaomba yeye auandikie ‘script’ ya video.
“Sikumkatalia Fid, alifanya hivyo na mawazo yake ndiyo yaliyofanikisha kichupa cha wimbo wangu kilichotengenezwa na Prodyuza Nick wa Sauzi,” alimaliza Ben Pol.
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU:
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com
HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz