Amber Rutty, Mpenzi Wake, James Delicious Wafikishwa Mahakamani – Video
Video queen wa Bongo Fleva, Ruth Abubakar ‘Amber Rutty’ na mpenzi wake Said Bakary Mtopali wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, leo Ijumaa, Novemba 2, ili kusomewa mashtaka mawili ikiwemo kufanya mapenzi kinyume cha maumbile.
Comments are closed.