The House of Favourite Newspapers

BREAKING: Makamba Afanya Msako wa ‘Rambo’ Mitaani – Video

JUMAMOSI ya leo Juni Mosi ni siku ambayo marufuku ya kutumia mifuko ya plastiki maarufu kama mifuko ya rambo inaanza nchi nzima.

 

Serikali imeitangaza kuanza kutumika kwa mifuko mbadala nchini ambapo wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba leo amefanya msako wa mifuko ya plastiki katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar ili kuona mwitikio wa mpango huu ulioanzishwa na serikali wakutokomeza mifuko hiyo.

 

Sambamba na hilo, Makamba amepita kwenye maduka mbalimbali na mitaa ya jiji hilo akitoa elimu kwa wananchi kuhusu madhara ya mifuko ya plastiki na kuwahimiza kuanza kutumia mifuko mbadala kwani haina madhara kwa mazingira na afya zao.

 

FUATILIA TUKIO ZIMA HAPA

Comments are closed.