KLABU ya Simba imezidi kujihakikishia ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushinda rufaa yake dhidi ya Kagera Sugar ambao imethibitika mbele ya Kamati ya Saa 72 kuwa mchezaji wa Kagera Sugar, Mohamed Fakhi alicheza mechi ya Simba akiwa na kadi tatu.
KLABU ya Simba imezidi kujihakikishia ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kushinda rufaa yake dhidi ya Kagera Sugar ambao imethibitika mbele ya Kamati ya Saa 72 kuwa mchezaji wa Kagera Sugar, Mohamed Fakhi alicheza mechi ya Simba akiwa na kadi tatu.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.