Breaking News: Rais Magufuli Afiwa na Dada Yake
Dada wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Monica Joseph Magufuli amefariki dunia asubuhi leo Agosti 19, 2018 katika Hospitali ya Bugando jijini Mwanza alikokuwa akipatiwa matibabu.
Rais Magufuli jana alifika katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Bugando jijini Mwanza kumjulia hali.
Comments are closed.