The House of Favourite Newspapers

Breaking: Onyango Beki Wa Gor Mahia Atambulishwa Simba

0

JOASH Onyango, nyota wa zamani wa Klabu ya Gor Mahia leo ametambulishwa rasmi ndani ya Klabu ya Simba.

Onyango raia wa Kenya amefanya kazi kwa ukaribu na Francis Kahata alipokuwa ndani ya Gor Mahia jambo linaloongeza ukaribwa wa familia hizo mbili kikazi ndani ya Simba.

 

Onyango alikuwa anapakaa rangi nywele na ndevu zake, sasa amekuja na muonekano wa tofauti kivingine tayari kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu wa 2020/21.

Habari zinaeleza kuwa beki huyo amesaini dili la miaka miwili.

Leave A Reply