Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu , leo Alhamis Mei 13, 2021 amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mhe. Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.