Na Elvan Stambuli Leo tutatupia jicho baadhi ya tafiti zinazohusu ugonjwa wa saratani ya matiti. Uchunguzi mpya umeonyesha kwamba, katika...
READ MOREKUTOKWA na vinyama, mafindofindo yanayoota kwenye ngozi au utando laini unaozunguka maeneo ya siri (genital warts) ni ugonjwa unaoenezwa kwa...
READ MOREUvimbe katika sehemu za siri za mwanaume unaweza kusababishwa na matatizo mengi, mfano maambukizi katika kiwanda cha kuzalishia mbegu za...
READ MOREVidonda vya mdomoni ni miongoni mwa matatizo yanayowasumbua watu wengi. Badala ya kuhangaika kutumia dawa za hospitali, unaweza kutumia tiba...
READ MOREChid Benz Kuna sababu nyingi zinazochangia ongezeko la matumizi ya dawa za kulevya katika jamii. Baadhi ya sababu hizo ni...
READ MORETunda la tikitimaji au kwa Kiingereza Watermelons lina faida nyingi mwilini na hutibu baadhi ya maradhi. Tikitimaji pia ni chanzo...
READ MOREMatunda Kisukari ni ugonjwa ulioingia kwa kasi nchini. Ni hali inayotokea wakati sukari inapozidi ile inayotakiwa katika damu kwa sababu...
READ MOREWanawake wengi wenye umri mkubwa hupata maradhi ya Vaginal Prolapse yaani kulegea kwa misuli ya uke au sehemu za siri...
READ MOREInsomnia ni tatizo linalowasumbua watu wengi, ambapo hupoteza usingizi, huona maruweruwe na wakati mwingine kuweweseka nyakati za usiku. Hata hivyo,...
READ MORETetekuwanga ni miongoni mwa magonjwa yanayowasumbua watu wengi, hususan watoto. Ugonjwa huu husababishwa na Virusi vya Varicel Zoster na huambukizwa...
READ MOREHali hii husababisha matatizo ya mkojo kwa mwanaume na kufanya mkojo ushindwe kutoka. CHANZO CHA TATIZO Matatizo ya tezi dume...
READ MOREYapo matatizo mengi yanayowapata wanawake wajawazito na miongoni mwa matatizo hayo, ni kifafa cha mimba (Eclampsia). Ni hali ambayo huwatokea...
READ MOREWanachama wa Taasisi ya Upendo ni Mimi wakichangia damu katika Hospitali ya Temeke. NA GABRIEL NG’OSHA/GPL Said Fella, ‘Upendo Ni...
READ MOREUKIMWI bado ni janga kubwa nchini kwetu. Takwimu zinaonyesha maambukizi ya VVU kwa upande wa Tanzania Bara kuwa ni #asilimia5.3....
READ MOREAFRIKA KUSINI: Chanjo mpya dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi itaanza kufanyiwa majaribio nchini Afrika Kusini Jumatano wiki hii. Wanasayansi wanasema...
READ MORETatizo la madawa ya kulevya limetokea kuwa janga kubwa duniani kote, watu wengi wameathirika na janga hili. jinsia zote wanaume,...
READ MOREWIKI zilizopita, aliyekuwa mmoja wa wapiganiaji utawala wa wengi Afrika Kusini, Askofu Desmond Tutu, wa Kanisa la Anglikana, akiadhimisha mwaka...
READ MORETangazo linaloonesha taarifa muhimu kuhusu tukio hilo la matibabu bure. Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dar es Saalam iliyo...
READ MORELeo kwenye safu hii tutaongelea tango linavyoweza kukusaidia kutopata ugonjwa wa UTI kwani linafanya kazi kama maji mwilini. Kama wewe...
READ MOREBAADA ya kusoma sababu za wanawake na wanaume kushindwa kushika mimba, leo tutaangazia vipimo vya kubaini tatizo. Lengo la kufanya...
READ MOREHebu vuta picha, walinzi wa ikulu wakiwa kwenye harakati zao za kuhakikisha ikulu ipo salama, ghafla inatokea helikopta kutoka kusikojulikana,...
READ MOREHALI hii hutokana na viungo vya uzalishaji wa vichocheo vya uimarishaji uzazi kwa mwanamke na mwanaume kutofanya kazi. Viungo au...
READ MORETunapozungumzia mwanamke kukosa uwezo wa tendo hili la kujamiiana hapa tunamaanisha anakuwa hana hamu ya tendo hilo au hata akilifanya...
READ MOREWATU wengi wamekuwa wakidhani kuwa mwanamke pekee ndiye mwenye wajibu wa kuhakikisha anapata mimba na ikitokea akakaa muda mrefu kwenye...
READ MOREUJAUZITO ni safari ndefu inayomchukua mwanamke miezi tisa au majuma arobaini hadi kujifungua. Ni safari yenye mikikimikiki na hatari nyingi...
READ MOREWIKI hii kwenye kona ya urembo tutaongelea njia sahihi ya kukuza nywele na kuzifanya ziwe ngumu, zisikatikekatike pia kuzipa rangi...
READ MORELeo tunakamilisha mfululizo wetu wa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa kuangalia suluhisho lake. Tumeona kwamba upungufu wa...
READ MOREWEUSI KWAPANI Matango ni moja ya dawa nzuri inayoweza kuondoa weusi wa ngozi ya kwapani, kama una tatizo hilo changanya...
READ MOREKama tulivyoona wiki iliyopita, matatizo ya uzazi kwa wanawake yapo katika makundi matatu. Kuna tatizo la upevushaji mayai. Tatizo hili...
READ MOREWAKATI huu ni msimu wa tunda la parachichi Wazungu huliita avocado. Sehemu nyingi tunda hili linapatikana ama kwa kuuzwa tena...
READ MOREKitambi ni hali ya kiafya ya mtu mnene ambapo mafuta ya ziada mwilini huongezeka eneo la tumbo kwa kiasi kikubwa....
READ MOREMtaalam Mandai MALARIA ni maambukizi ya seli nyekundu za damu inayosababishwa na vimelea vinavyoitwa kitaalamu, Plasmodiumu. Plasmodiumu hawa husambazwa na...
READ MOREInaendelea toka wiki iliyopita Watoto wachanga chini ya miezi 3 wanapata sehemu ya kinga (Antibodies) kutoka kwa mama anayenyonyesha na...
READ MOREWatu wengi sasa hivi wameharibika nyuso zao kutokana na hali ya upepo ambao unasababisha ngozi kuwa mbaya na wengi wamejikuta...
READ MOREUpungufu wa nguvu za kiume siyo ugonjwa ila ni dalili ambayo ndani yake inaweza kuwa na magonjwa mengi au sababu...
READ MOREKUNA magonjwa mengi ambayo watu hukumbana nayo lakini leo tutajadili magonjwa ambayo hutoa majimaji au usaha sehemu za siri na...
READ MOREUtafiti wa Chama Cha Madaktari Bingwa wa Akina Mama (FIGO) mwaka 1990 ulionesha kuwa sababu kuu ya mwanamke kutoshika mimba...
READ MOREMaziwa yaliyochachishwa maarufu kama mtindi ni miongoni mwa vyakula bora kutokana na kuwa na virutubisho vingi vya aina mbalimbali ambavyo...
READ MOREKuharisha kwa watoto ni tatizo linaloshika nafasi ya pili duniani kwa kusababisha vifo miongoni mwa watoto chini ya miaka mitano....
READ MOREMoja ya matatizo yaliyoko katika jamii zetu na yamesababisha wanandoa wengi au wanawake wengi kukosa furaha ni baada ya mama...
READ MORE