×

Celebrities

Lukamba: Siyo Ujanja ni Ujinga

Mara baada ya kusambaa kwa video yake chafu akicheza vibaya na msanii Gigy Money, hatimaye mpiapicha wa Diamond Platnumz, Lukamba...

READ MORE

Tulia Ataja Ngoma Yake Kwenye #FOA

Dr Tulia Ackosn Mwansasu; ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye naye ameonesha kuguswa na albam...

READ MORE

Diamond: Najijua kwa kuchiti

Diamond Platnumz; ni superstar wa muziki kutoka nchini Tanzania ambaye ametoa albam fupi (EP) yake ambayo ilikuwa imesubiriwa inayokwenda kwa...

READ MORE

EP ya Diamond ni Moto, Yaachiwa Kwa Kishindo! – Video

Usiku wa kuamkia leo Ijumaa Machi 11, 2022, Diamond Platnumz ameachia albam fupi (EP) yake ya First Of All (FOA)...

READ MORE

Wolper: Baba P Hanisumbui, Akianza Nitawaambia

JACQUELINE Wolper Massawe au Mama P; ni super woman kunako Bongo Movies ambaye amesema kuwa, anamshukuru Mwenyezi Mungu kwamba, mwanaume...

READ MORE

Muhimbili Yamsaka Aliyevujisha Video ya Prof. Jay ICU

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imesema inashirikiana na mamlaka nyingine kumpata mtu aliyemrekodi video Prof. Jay, ambaye anapatiwa matibabu hospitalini hapo....

READ MORE

Shishi: Tumemalizana kijeshi na Kiba

Msanii na mfanyabiashara, Zuwena Mohammed ‘Shilole ama Shishi Trump’ amesema amemalizana kijeshi na kistaarab na Alikiba baada ya kutoleana maneno...

READ MORE

Wastara Asimulia Mfalme Zumaridi Alivyotaka Kumfufua Sajuki Aongee Nae -Video

 MOJA kati ya matukio ambayo yametrendi hivi karibuni ni pamoja na lile la Mfalme Zumaridi ambaye amejikuta kwenye mikono...

READ MORE

Kundi la P-Square Kujaza Uwanja wa O2 Arena

Nyota wa muziki nchini Nigeria ambaye anaunda kundi la P-Square, Peter Okoye, ameweka wazi kuwa kundi hilo linao uwezo wa...

READ MORE

Kajala Atoa Nukuu Kuwatia Moyo Mashabiki Wake

KAMA umekuwa ‘mlevi’ wa mitandao ya kijamii, jina la Kajala Masanja au Frida Kajala hakika siyo geni masikioni mwako.  ...

READ MORE

King Kiba Ayamaliza Na Mkewe Amina

UKIACHA stori za uvamizi wa Urusi kwa Ukraine, nyingine iliyoshtua hivi karibuni na kuibua mjadala mkali ni ile ya King...

READ MORE

Harmonize Matatani Kupanda Stejini na Mtoto

STAA wa muziki na CEO wa Konde Gang, Harmonize amejikuta pabaya mara baada ya kukosolewa vikali na wadau mbalimbali wanaosimamia...

READ MORE

Azam Wabeba Kikombe cha Simba SC mazima

KILE kikombe cha mateso ambacho wachezaji wa Simba walikuwa wanakipitia kwa muda wa dakika 270 bila kufunga kwenye mechi tatu...

READ MORE

Nandy Alia Upweke Bila Nenga

NANDY au The African Princess ni malkia wa muziki Afrika Mashariki akitokea Tanzania ambaye ambaye amefunguka makubwa akilia upweke baada...

READ MORE

Harmonize Amtibulia Mondi Tena

FAHAMU kwamba, Diamond Platnumz ambaye ni supastaa wa muziki barani Afrika akitokea Tanzania amesogeza mbele tarehe ya kuachia albam yake fupi...

READ MORE

Kodak Black: Wanaume Hawatakiwi Kuoga Kila Siku

Rapa maarufu nchini Mmarekani, Bill Kahan Kapri almaarufu Kodak Black, amesema kuwa wanaume hawastahili kuoga kila siku na kwamba wanaume...

READ MORE

FOA ya Mondi, Madee na Roma watia neno

Madee au Rais wa Manzese Music na Roma Mkatoliki, wamekuwa ni watu wa kutaniana mno kiasi kwamba kama hujui ni...

READ MORE

Ifahamu FOA ya Diamond

SUPASTAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz; ni brandi kubwa kwenye muziki wa Afrika akiiwakilisha vyema Tanzania. Baada ya kusumbua vichwa...

READ MORE

Nahreel: Sina mtoto wa nje, nimezaa na Aika tu

Nahreel; ni producer na msanii wa Kundi la Navy Kezo linaloundwa na yeye na baby mama wake, Aika na kwa...

READ MORE

Muna: Sijamzuia Mtu Kufanya Sajari, Ila Kuna Kuoza

Muna Love; ni staa wa Bongo Movies ambaye baada ya kufanikiwa kurekebisha athari alizozipata baada ya kwenda nje ya nchi...

READ MORE

Drake Anunua Mjengo Bil.197

USISEME hatuna pesa, bali sema sina pesa! Taarifa ikufikie kwamba, rapa wa kiwango cha dunia, Drake anayepiga mbishe zake pale...

READ MORE

Paula: Kwangu Habanduki

PAULA Kajala; ni binti wa mwigizaji wa Bongo Movies, Kajala Masanja au Frida na prodyuza wa Bongo Records, P Funk...

READ MORE

Aunty: Kuuza Nguo Sio Umaskini

AUNTY Ezekiel Grayson Jujuman; ni mwanamama mkali kunako Bongo Movies ambaye anasema kuwa, kitendo cha kuamua kuuza nguo zake hivi...

READ MORE

Lulu: Nitanyonyesha Hadi Mwisho

ELIZABETH Michael almaarufu Lulu au Mama G; ni supastaa filamu za Kibongo tangu akiwa na umri wa miaka mitano ambaye...

READ MORE

Uwoya: Sijui Natumia Pesa Kiasi Gani

IRENE Uwoya; ni mwanamama mwenye pesa zake kunako Bongo Movies; yeye anasema kuwa, hawezi kusema ni kiasi gani cha pesa...

READ MORE

Rayvanny, Harmonize Bado Vita Mbichi

Vita ni vita! Kama uliamini vita kati ya wasanii wawili wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa au Rayvanny na Rajabu Abdul...

READ MORE

Diamond Amkimbia Harmonize

Diamond Platnumz ni supastaa wa muziki nchini Tanzania ambaye alipanga kuachia albam take fupi (EP) leo Machi 4, 2022, lakini...

READ MORE

Diva Amshukia Mke Mwenzake

MTANGAZAJI Diva The Bawse amemshukia mtu anayetajwa kuwa ni mke mwenzake kwa mume wake, Sheikh Abdulrazack Salum. Hii ni baada...

READ MORE

Mama Kanumba: Nisaidieni Udhamini wa Kanumba

MAMA wa aliyekuwa staa mkubwa wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa anasema kuwa, hakuna kitu ambacho anakitamani...

READ MORE

Diamond Kamkimbia Harmonize

Diamond Platnumz ni supastaa wa muziki nchini Tanzania ambaye alipanga kuachia albam take fupi (EP) leo Machi 4, 2022, lakini...

READ MORE

EPL, La Liga Na Serie A Kuendelea Leo Wikiendi Hii

Ni wikiendi ya kibabe katika kuuanza mwezi wa 3 mwaka huu wa 2022. Ni mwendo wa ‘Big Match’ kunako EPL...

READ MORE

Kanye Na Kim Ni Rasmi Sasa

ILIKUWA miaka ikafuata miezi kisha siku na sasa ni rasmi kwamba baada ya muda mrefu wa kuvurugana katika ndoa yake...

READ MORE

Unyama: Mume Ampasua Jicho Mkewe, Kisa Mchepuko – Video

 Kutoka Mkoani Arusha Sinoni Engasheratoni Mwanamke anaefahamika kwa jina la Viviani Mmari Amelalamika kupigwa na mume wake hali iliyopelekea...

READ MORE

Ndoa ya Zari na GK Choppa Yanukia

SIYO stori kwamba ‘baby mama’ wa staa wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady yupo kwenye penzi...

READ MORE

Zari Ndoa Yanukia

SIYO stori kwamba baby mama wa staa wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady yupo kwenye penzi...

READ MORE

Nandy Achukua Likizo Ya Muziki

KAMA wewe ni mtalii kwenye mitandao ya kijamii, pasi na shaka utakuwa umekutana na jina la Nandy ambaye ni supastaa...

READ MORE

Video Ya Sonia Ukraine..

  WAKATI Serikali ya Tanzania ikiwa imeanza kuchukua hatua za kuwarejesha nchini Watanzania takriban 300 waliopo nchini Ukraine kutokana na...

READ MORE

Muna: Waislam Mtanipokea?

Muna Love; ni mwigizaji wa Bongo Movies japo kwa muda mrefu hajaonekana lokesheni ambaye hivi karibuni alizua kizaazaa baada ya...

READ MORE

Wema Amrudia Mungu

  STAA mwenye nyota zake Bongo, Wema Sepetu amesema baada ya mapito ya muda mrefu amebadili mfumo wake wa maisha...

READ MORE

Kajala: Upweke wa Paula unanitesa

KAJALA Masanja au Frida Kajala; ni mwanamama wa Bongo Movies ambaye anasema kuwa, hakuna kitu kinachomtesa kama upweke wa kummisi...

READ MORE