×

Celebrities

JOEL LWANGA Amwangukia Mama’ke Muna

UBUYU nao una nafasi yake kwenye jamii na ndio maana hakuna ambaye anauchukia! Baada ya mvutano wa hapa na pale...

READ MORE

Mainda: Mitandao Imeharibu Msiba wa Patrick

MKONGWE kwenye Tasnia ya Filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kwa uchungu kuwa, kama sio timu za kwenye mitandao ya...

READ MORE

Mazishi ya Patrick: Wema Atangaza Kumaliza Bifu na Muna – Video

STAA wa Bongo Movie, Wema Sepetu amemtaka msanii mwenzake, Rose Alphonce ‘Muna’ kumaliza tofauti waliyokuwa nayo hapo nyuma na badala...

READ MORE

Mapenzi yamnyoosha Amber Lulu

MWANADADA kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva ambaye pia ni muuza sura kwenye video za Kibongo, Lulu Euggen ‘Amber...

READ MORE

Monalisa Ang’ara Marekani

STAA wa filamu za Kibongo, Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ ameng’ara nchini Marekani baada ya kuwa balozi wa Tamasha la Filamu za...

READ MORE

Ndoa Ya Banda, Zabibu Kiba Gumzo

‘KAPO’ inayoonekana kuwavutia wengi mtandaoni ya mwanasoka Abdi Banda na dada wa staa mkubwa wa muziki Bongo, Ally Salehe Kiba...

READ MORE

WALIOIUA TWANGA NDIYO WALIOIZIKA DANSI

AFRICAN Stars Band ‘Twanga Pepeta’ imefuLia ile mbaya! Walich-okuwa hawa-kitaki wenye be-ndi hiyo yaani ku-pi-ga sh-oo kwe-nye ku-mbi za usw-azi...

READ MORE

WAKONTA ATAKAVYOITENDEA HAKI MILIONI 55 YA JPM NA MENGI

BINGO! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mwanadada Wakonta Kapunda, kujipatia fedha taslimu zaidi ya shilingi milioni hamsini na tano (55),...

READ MORE

SHAMSA FORD: CASTO NI MTANGAZAJI TU, BABA NI PETER – VIDEO

Miongoni mwa mastaa ambao wameendelea kumiminika katia msiba wa mtoto Patrick uliopo Maeneo ya Mwananyamala ni Shamsa Ford, ambaye akiwa...

READ MORE

NANCY SUMARI MWANADADA WA CHUMA ‘SPECIAL’ KWA TAIFA

UNAPOMZUNGUMZIA Nancy Abraham Sumari, hakika unataja jina la miongoni mwa kinadada ‘special’ wa taifa hili ambao wana mchango mkubwa kwenye...

READ MORE

TARAJI AFUNGA NDOA YA SIRI!

MUIGIZAJI maarufu nchini Marekani, Taraji P Henson amefunga ndoa ya siri na mpenzi wake ambaye inasadikika walikuwa na uhusiano wa...

READ MORE

VERA SIDIKA KUMPELEKA MPENZ WAKE UKWENI

BAADA ya kukinukisha katika mitandao na TV, muuza nyago ambaye pia ni mwanamitindo maarufu kutoka pande za Kenya, Vera Sidika...

READ MORE

BETHIDEI YA JIKE SHUPA… ‘CHURA ’ WAFANYA SHOO YA LAANA

DUNIA ina mambo! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya wikiendi iliyopita wanawake wenye ‘chura’ kufanya shoo ya laana na kuwaacha watu...

READ MORE

Zamaradi Afunguka ‘Vita’ ya Nani Baba Halisi wa Patrick

MTANGAZAJI Zamaradi Mketema aliyepewa jukumu kuratibu msiba wa mtoto wa Muna, Patrick ametaka yeye asihusishwe juu ya mvutano uliopo kati...

READ MORE

DAKTARI AANIKA MADHARA KUKATWA UTUMBO

KWA kipindi cha takribani wiki nzima sasa, gumzo kubwa katika ulimwengu wa mastaa ni kuhusu afya ya msanii maarufu Bongo,...

READ MORE

LeBron Asaini Lakers, Aenda Italia Kujivinjari

LeBron (kulia).   NYOTA mpya wa mpira wa kikapu wa timu ya Lakers ya Marekani,  LeBron James , hivi sasa anakula bata nchini Italia...

READ MORE

ANACHOKIFANYA SANCHI NA MBWA

MWANAMITINDO maarufu ndani na nje ya nchi, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefunguka kuwa siku za hivi karibuni amekuwa akitumia muda wake...

READ MORE

Beckham, Victoria Waadhimisha Mwaka wa 19 wa Ndoa

  WANANDOA David Beckham  na Victoria leo wametimiza mwaka wa 19 wa ndoa yao na ‘kupuuzilia mbali’ uvumi kwamba wametengana. Wawili...

READ MORE

DIAMOND ATIBUA NDOA YA ZARI, MAULID KITENGE

DAR ES SALAAM: Imevuja! Baada ya hivi karibuni picha mbalimbali zikimuonesha Mtangazaji wa Kituo cha Redio cha EFM, Maulid Kitenge...

READ MORE

MASTAA HAWA… NDOA ZIMEWAPITIA KUSHOTO

NDOA ni kitu chema na kila mwanamke anatamani kuingia kwenye ndoa. Lakini wapo wanawake ambao wanaingia na kushindwa kuhimili changamoto...

READ MORE

MUNA LOVE: BABA WA PATRICK NI CASTO, NITAMUABISHA PETER

KUFUATIA kifo cha mtoto wa Muna Love, Patrick aliyeaga dunia jana nchini Kenya akipatiwa matibabu, taarifa zenye mkanganyiko zimekuwa zikisambaa...

READ MORE

DAVINA KUACHA UIGIZAJI

MSANII wa kitambo kwenye tasnia ya filamu Halima Yahaya ‘Davina’ amesema kuwa biashara zake zikimuendea vizuri ataachana na kuigiza. Akizungumza...

READ MORE

TUNDA…’LIFESTYLE’ YAKE INAACHA MASWALI MILIONI

MAISHA ya muuza nyago kwenye video za Kibongo, Tunda kwa mashabiki au watu wanaomfuatilia ni sanaa, halafu wakati huohuo ni...

READ MORE

Blac Chyna Aendelea na Viben-Ten ‘Under-20’

MWANAMITINDO maarufu wa Marekani,  Blac Chyna,  ameendelea na mtindo wake wa kuwa na washikaji wadogo chini ya umri wake — Viben-ten...

READ MORE

Cardi B Rapa wa Kwanza wa Kike Billboard Hot 100

Cardi B RAPA wa kike Cardi B wa Marekani ameweka hstoria ya kuwa rapa wa kwanza wa kike kushika nafasi mbili za...

READ MORE

Diddy Amtetea Mkuu wa Revolt Dhidi ya Ubaguzi wa Rangi

  MWANAMUZIKI Puffy Diddy wa Marekani amemtetea mkuu wake wa mtandao wa televisheni wa Revolt, Roma Khanna, dhidi ya madai...

READ MORE

PRETTY KINDY ADAIWA KULA MAKOMBO YA WEMA !

MSANII wa filamu na muziki Bongo, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ anadaiwa kula makom­bo ya msanii mwenzake, Wema Sepetu kwa kutoka...

READ MORE

BARAKA , YOUNG DEE KUISIMAMISHA DAR LIVE

KAMA ulikuwa hujui sikukuu ya sabasaba hii (7/7) uende kiwanja gani kula bata jibu lake utalipata ndani ya Uwanja wa...

READ MORE

RAHA YA MUME ASIKUPE TABU SANA!

JUMATANO nyingine hiyo tumekutana shoga yangu! Anti Naa wa kujimwayamwaya nipo tena mjengoni shoga! Heee heeeiyaaa na watanawa maji ya...

READ MORE

LULU DIVA ADAIWA KUTOKA NA BILL NAS

HITMAKER wa Ngoma ya Ona, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ anadaiwa kutoka kimapenzi na msanii mwenzake, William Lyimo ‘Bill Nas’. Kwa...

READ MORE

MASTAA HAWA …‘WAMEROGWA NA NANI ?’

MIAKA ya nyuma kujihusisha na muziki tu hasa huu wa Bongo Fleva, ilikuwa inaonekana ni uhuni pamoja na kukiuka maadili...

READ MORE

BABA: MONDI ATAPATA TAABU SANA!

LICHA ya hivi karibuni staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kumposti baba yake, Abdul Jumaa kwa mara...

READ MORE

JIKE SHUPA: WALIOTEMBEA NA MIMI WAPIME UKIMWI!

VUTA picha ‘umetembea’ na mwanamke halafu ghafla anakwamba ukapime Ukimwi, utakuwa kwenye hali gani? Ndivyo alivyoibua mshtuko msanii wa filamu...

READ MORE

Gari ya Bieber, Yaharibika Barabarani Akiwa na Baldwin

Bieber na Baldwin baada ya gari lao kuharibika. WAKATI mapenzi kati ya mwanamuziki wa Canada,  Justin Bieber   na mwanamitindo na mtangazaji...

READ MORE

Janet Jackson, Aongoza Maziko ya Baba Yake Kifamilia

MWANAMUZIKI nyota wa Marekani Janet Jackson,   jana (Jumatatu) aliongoza maziko ya baba yake,  Joe Jackson,  akiwa na ndugu wa familia hiyo katika...

READ MORE

JANJARO: NDOA IMEFANYA MUZIKI WANGU KUWA MURUWAAA

MUZIKI bwana! Miaka ya 2000 katikati waliibuka wasanii wengi wadogo kiumri, walikuwa na uwezo katika kuimba na kurap lakini kutokana...

READ MORE

MASTAA BONGO; UMRI UNAKWENDA, WANARUDI KUISHI KITOTO

KWETU akiwepo mtu mwenye umri mkubwa halafu akawa anazungumza na kufanya mambo ya vijana, malipo yake ya kwanza huwa ni...

READ MORE

ED SHEERAN AKOPI WIMBO, ADAIWA BIL. 225

STAA wa R&B, Ed Sheeran yamemkuta! Unaweza sema hivyo kwa maana nyingine baada ya familia ya aliyekuwa mkali wa muziki...

READ MORE

LeBron Asaini Bn. 350/= Kujiunga na Los Angeles Lakers

MFALME wa ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani, LeBron James,  amesaini kujiunga na timu ya  Los Angeles Lakers kwa kitita...

READ MORE

Beyonce Ashindwa Kuteremka Jukwaa ‘Automatic’, Aokolewa

Beyonce (katikati) na mumewe Jay-Z wakiwa katika ziara yao Ulaya. NYOTA wa muziki Beyonce juzi alishindwa kuteremka kwenye jukwaa maalum...

READ MORE