×

Celebrities

Amuua Mumewe Siku 14 Baada ya Ndoa

  Mwanamke aitwaye Happy Nyasumo (18) mkazi wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara amemuua mumewe, Bebe Mbogo (26) kwa madai...

READ MORE

Rayvanny, Baba Levo Watoka Sentro – Video

WASANII wa Bongo Fleva, Baba Levo na mwenzake, Rayvanny tayari wametoka katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam (Sentro)...

READ MORE

Baba Levo Ajisalimisha BASATA – Video

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Baba levo ameripoti katika ofisi za Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kufuatia kusambazwa kwa...

READ MORE

Penzi la Jennifer Lopez na Rodriguez Laota Mbawa.

BAADA ya kuwepo kwa uvumi wa wiki kadhaa kuhusu kuvunjika kwa uhusiano wa kimapenzi wa mwanamuziki nyota na mchezaji sinema,...

READ MORE

Kolabo ya Scorpion Kings, Tresor ni Noma!

KUNDI la muziki kutoka Afrika Kusini, Scorpion Kings linaloundwa na wasanii, DJ Maphorisa na Kabza De Small, wametoa albamu ya...

READ MORE

Kim, Kanye Wakubaliana Kutunza Watoto

Rapa Kanye West amekubali kushirikiana kulea watoto kufuatia ombi la talaka lililowasilishwa naKim Kardashian tarehe 19 Februari, ambalo lilianzisha mchakato...

READ MORE

Mwambusi Aifumua Yanga, Ataja Sehemu Zenye Matatizo

KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga, Juma Mwambusi, Jumamosi iliyopita aliiongoza timu hiyo kwa mara ya kwanza kwenye Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Ilivyo Sura ya ‘Paula wa Kajala’ Kwenye Mguu wa Chama

KUNA watu wamezaliwa na vinasaba vya burudani. Wenyewe wapo kwa ajili ya kuiburudisha dunia tu.Wafanye baya au zuri ni burudani...

READ MORE

Harmonize Amuonya Kajala “Kuwa Makini”

Msanii na Boss wa lebo ya Konde Gang Harmonize ametoa angalizo kwa aliyekuwa mpenzi wake staa wa filamu Kajala Masanja...

READ MORE

Billnass Afunguka Kuachana Na Nandy, Wimbo Wa Tatizo -Video

 MSANII wa Bongo Fleva, Billnass leo Aprili 14, 2021 amefanya mahojiano na kipindi cha Bongo 255 kinachoruka kupitia Global...

READ MORE

Kim & Kanye Wakubaliana Kutunza Watoto

Rapa Kanye West amekubali kushirikiana kulea watoto kufuatia ombi la talaka lililowasilishwa naKim Kardashian tarehe 19 Februari, ambalo lilianzisha mchakato...

READ MORE

Kajala Mtegoni Sakata la Paula

DALILI mbalimbali zinaonesha kwamba kwenye ugomvi wa Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ na Rajabu Abdul ‘Harmonize’ kuna mkono wa bosi kubwa Nasibu...

READ MORE

Harmonize Aapa Kumpeleka Mahakamani Rayvanny

Taarifa Kwa Umaa …!!! 📢 Video Zilizo tengenezwa na Kusambazwa Mtandaoni Zikiwa Zinaonyesha Sura Yangu Na Kuunganishwa Na Utupu Wa...

READ MORE

Chemical Afunguka Sakata La Harmonize Kumtongoza Paula -Video

 MWANAMUZIKI Chemical leo Aprili 13, 2021 ametinga ndani ya studio za Global Radio kwenye kipindi cha ‘BONGO 255’ kutambulisha...

READ MORE

Rayvanny – Nyamaza (Official Audio)

 BAADA ya Harmonize kuachia wimbo wake Aprili 12, 2021wa #VIBAYA  wimbo unaozungumzia wakati anaopitia kwenye mahusiano yake kwa sasa,...

READ MORE

Lulu: Watoto Wangu Watawaona Shuleni tu

  STAA wa filamu nchini Bongo, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu amesema akijaaliwa watoto wake basi watu watawaona wakiwa wanaenda...

READ MORE

Zifahamu Rekodi Kali Alizovunja Rapa DMX

Rapa DMX alikuwa miongoni mwa nyota waliofanikiwa sana nchini Marekani mwishoni mwa miaka ya 1990 mpaka miaka ya 2000, na...

READ MORE

Kajala Arejesha Mali Za Harmo

UKIMZINGUA anakuzingua kwelikweli! Huyo ndiye Kajala Masanja, staa wa Bongo Muvi ambaye anadaiwa kumrudishia vitu vyote staa wa Bongo Fleva,...

READ MORE

MOBETO ‘AMPORA’ WEMA DUKA

ILE fremu ya duka ambayo ilikuwa likimilikila Staa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu imedaiwa kumilikiwa na staa wa Bongo...

READ MORE

Tanzia: Rapa DMX Afariki Dunia

Rapa wa Marekani, Earl Simmons maarufu kama DMX amefariki dunia Aprili 9, 2021 jijini New York akiwa na umri wa...

READ MORE

Wasanii Wa Kike Wenye Wafuasi Wengi Youtube

YOUTUBE ni moja kati ya mitandao ambayo kwa kiasi kikubwa inatoa kipimo halisi cha kazi za wasanii. Kupitia mtandao huo...

READ MORE

‘Jitu la Kutisha’ Lapata Dili Nono Hollywood

    JAMAA anaitwa Rico “Orc” Ledesma (41) jamaa wa nchini Brazil ambaye alibadili moja kwa moja mwili wake kuwa...

READ MORE

Peter Msechu Awajibu Wanaomdhihaki

MSANII wa Bongo Fleva, Peter Msechu amenyoosha maelezo kwa baadhi ya watu wanaomshambulia mitandaoni kuhusu muonekano wake kwa kusema hawezi...

READ MORE

Mastaa wa Kike Waliowahi Kudumu Penzini na Mondi

WANASEMA raha ya mapenzi ni udumu na mwenzi wako kwa muda mrefu lakini pia akuweke hadharani ili ndugu jamaa na...

READ MORE

Kim Kardashian Ajiunga Klabu ya Mabilionea

  Nyota wa Marekani wa Kipindi cha TV Kim Kardashian West ameingia katika klabu ya matajiri wakubwa. Utajiri wake umefikia...

READ MORE

Jay Z Awakoroga Waislamu Kenya

Mwanamuziki maarufu wa mziki wa Hip Hop wa Marekani Jay Z asababisha hasira miongoni mwa baadhi wa wenyeji wa kaunti...

READ MORE

Lupita Nyong’o Atembelea Serengeti kwa Mara ya Kwanza

  Nyota wa Hollywood kutoka nchini Kenya Lupita Nyong’o ametembelea kwa mara ya kwanza mbuga ya wanyama ya Tanzania ya...

READ MORE

Antony Joshua, Tyson Fury Vita ya Wanaume

  Mratibu wa mapambano ya bondia Antony Joshua, Eddie Hearn, amethibitisha kuwa bondia huyo ameaanza maandalizi ya kujiandaa na pambano...

READ MORE

Ajella: Mimi Bado Mdogo, Sina Boyfriend

First Lady wa lebo ya Konde Gang Anjella amesema yeye bado ni mtoto mdogo sana ndio kwanza ana umri wa...

READ MORE

Lil Wayne Aonesha Jeuri ya Pesa, Anunua Nyumba ya Bilioni 34

Nyota wa muziki wa Rap Nchini marekani, Boss wa Young Money @liltunechi amenunua jumba la kifahari lenye thamani ya dola...

READ MORE

Mondi Balaa, Aandika Rekodi Hii Nyingine Mpya

STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amepiga hatua nyingine kubwa katika kazi yake ya muziki na kuwa mwanamuziki wa kwanza...

READ MORE

Putin Ndie Mwanaume Mwenye Mvuto Urusi

Rais wa Urusi, Vladimir Putin amepigiwa kura kwa mara nyingine tena mwaka huu kuwa ndie Mwanaume mwenye mvuto zaidi nchini...

READ MORE

Kajala, Harmonize Ndo Basi Tena

Kajala adaiwa kumtimua Harmonize nyumbani kwake, aidha, amefuta picha zote alizokuwa nae na kumu-unfollow Harmonize.     Kwa mujibu wa...

READ MORE

Rapa DMX Ametolewa Mashine za Kupumulia

MSANII nguli wa miondoko ya kufoka foka (Hip Hop) kutoka Marekani, Earl Simmon maarufu kama DMX ametolewa mashine za kupumulia...

READ MORE

Njia za Kutoka Jela Shamim Mwasha na Mumewe

NJIA za kumuwezesha Shamim Mwasha na mumewe Abdul Nsembo waliohukumiwa kifungo cha maisha gerezani Machi 31, mwaka huu ni mbili.Ya...

READ MORE

Penzi La Kajala na Harmonize Bundi Ametua

PENZI la Kajala Masanja na msanii Harmonize au Harmo, bundi ametua.Ishu ya kusikitisha ni kwamba wawili hao wameachana kwa aibu...

READ MORE

EXCLUSIVE…Harmo Aukimbia Mjengo Wa Kifahari

“EEH bwana namuogopa Mungu wanafuata wazazi…Nikimuacha bosi anafuata mwenye nyumba…Mwenye nyumba nitakulipa mwezi ujao…Eeh bwana nauza feni, nauza jiko…Mwenzenu nimeishiwa...

READ MORE

Tengeneza Faida Kupitia Kasino Ya Mtandaoni Ya Meridianbet

Ukiwa na Meridianbet, unapata fursa ya kufurahia huku unatengeneza faida kupitia sloti ya Wild Wild West Riches. Hii sloti inayopatikana...

READ MORE