×

Celebrities

Lulu Diva Avunja Ukimya Kutua Wasafi

KUTOKA kwenye vichupa vya Bongo Fleva kama Naogopa cha msanii Mirrow, Burger Movie Selfie cha Belle 9 na Pamela cha...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Koneksheni ya Tabu Mtingita

MIAKA mitatu iliyopita, aliibuka mwanamke mmoja, mtu mzima f’lani hivi kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram, akichekesha kwa lafudhi ya...

READ MORE

Nandy Kaja Kivingine Wakati wa Corona!

SEXY lady anayekimbiza kunako Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amekuja kivingine kwa kujiingiza kwenye biashara ya kuuza nyama kwa kuwapelekea...

READ MORE

Waziri Ammwagia Sifa Rayvanny

BAADA ya staa wa Bongo Fleva anayetumikia Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ kuachia wimbo unaotahadharisha juu...

READ MORE

Wolper Azua Timbwili Kisa Jero, Tazama Tukio Zima – Video

Kila kukicha mjini hakuishi mambo, unaweza kusema hivyo! unaweza kuamini kuwa staa anaweza kuanzisha songombingo kisa shilingi 500 `Jero`?!!!!!! Sakata...

READ MORE

Juma Lokole Amvaa H Baba “Nina Siri Zake, Harmonize Hamtumi” – Video

MSIKIE Juma Lokole akifunguka mambo mbalimbali yanayoendelea kwa sasa mitandao kuhusu wasanii H Baba na Daimond Platnumz, hii ni mara...

READ MORE

 Mobeto, Kiba Wanaswa Hotelini

MWANAMAMA anayebeba ‘taito’ tatu kwa mpigo ya uigizaji, mwanamuziki na mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto na mwanamuziki Ali Saleh Kiba...

READ MORE

Lava Lava Amkataa Uwoya

“ANA shepu bufalo, mwendo kama hakanyagi chini (hakanyagi chini), njonjo kangaroo, kafungasha double kibini (double kibini), ana guu la bia...

READ MORE

Muumini: Mimi Siyo Kocha wa Dunia Tena

MKONGWE wa dansi ambaye kwa sasa anasimamia Bendi ya Shadai, Mwinjuma Muumini amesema, kwa sasa hana sifa ya kuitwa Kocha...

READ MORE

Corona Yawatesa Mastaa

DAR: Siku chache baada ya kuripotiwa kuwepo kwa wagonjwa kadhaa wenye Virusi vya Mafua ya Corona (COVIC-19) nchini, kwa namna...

READ MORE

Dude: Kuna Kila Sababu ya Kumrudia Mungu

DAR: Mwigizaji wa kiume wa Bongo Movies, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ametoa nasaha kuwa watu wamrudie mwenyezi Mungu maana muda wowote...

READ MORE

Zari Amrushia Jiwe Mobeto

DAR: Ishara nyingi zinaonesha kuwa, bado mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari ‘The Boss Lady’ hajamsamehe mwanamitindo Hamisa Mobeto baada ya ‘kumrushia...

READ MORE

Hawana Jipya Lakini Wanawika

TUMEKUWA tukiona wasanii wakiwa maarufu kwa kazi wanazofanya huku wengine wakiupata umaarufu huo kwa skendo au kutokana tu na muonekano...

READ MORE

Rosa Ree: Sina Mpango Na Kiki

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Rosery Robert ‘Rosa Ree’ ambaye anatamba na Ngoma ya Nazichanga ameeleza kuwa katika kazi yake hiyo...

READ MORE

Bifu la Uwoya na Tessy, Ukweli ni Huu!

BAADA ya mastaa wawili, Irene Uwoya na Tessy Abdul ‘Tessychocolate’ ambao ni mashosti kudaiwa kuwa kwenye bifu kali kisa kuibiana...

READ MORE

Tanzia: Kenny Rogers Afariki Dunia

Los Angeles, Marekani. Nyota wa muziki wa country, Kenny Rogers, ambaye amekuwa katika muziki kwa miaka 60, amefariki akiwa na...

READ MORE

Tanasha Anyang’anywa Gari Kimafia

WAKATI Tanasha Donnah akidaiwa kujipanga kumburuza mzazi mwenziye Nasibu Abdul ‘Diamond au Mondi’ mahakamani kudai mali walizochuma pamoja, habari zimevuja...

READ MORE

Shonza: Wizara Kumpa Ushirikiano Chid Benz

NAIBU Waziri Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza,  ameahidi ushirikiano na msanii wa Bongo Fleva nchini, Rashid Abdallah...

READ MORE

Wema: Siwezi Kukaa na Kinyongo

  BIBIE Wema Sepetu amesema kuwa katika vitu ambavyo hawezi kuishi navyo moyoni ni kinyongo, kwa sababu anaamini kukaa na...

READ MORE

Rosa Ree Atoa Somo la Urembo

MREMBO anayefanya Hip Hop Bongo, Rasery Roberty ‘Rosa Ree’ amesema kuwa anajiamini kwamba yeye ni mzuri, ndio maana haoni sababu...

READ MORE

Breaking News: Mwana FA Akutwa na Virusi vya Corona

RAPA maarufu wa Bongo, Hamisi Mwijuma, maarufu Mwana FA amethibitisha kuwa amepimwa na kukutwa ameathirika na virusi vya COVID- 19...

READ MORE

Meneja wa Diamond ‘Salam SK’ Apata Corona

MENEJA wa mwanamuziki nyota nchini Diamond Platnumz,   aitwaye Sallam SK,    ametangaza kuambukizwa virusi vya Corona,  lakini amewatoa hofu Watanzania...

READ MORE

Sarah wa Harmo Yamkuta, Aoga Mvua ya Matusi

MCHUMBA wa msanii Rajab Abdul ‘Harmonize’ au Harmo, Sarah Michelotti, yamemkuta kwa kuogeshwa mvua ya matusi, kilichomponza nguo aliyovaa. Stori...

READ MORE

Msala Mpya! Mondi Kortini Tena

DAR: Huu ni msala mpya! Baada ya miaka miwili iliyopita kupandishwa kizimbani akidaiwa matunzo ya mtoto aliyezaa na mwanamitindo Hamisa...

READ MORE

Haitham: Nina Kisima cha Asali, Nataka Wanaume Watatu

MSANII wa Bongo Fleva, Haitham Kim, amewaacha mashabiki vinywa wazi baada ya kutangaza kuwa anapania kuolewa na wanaume watatu ambao...

READ MORE

Miguu ya Queen Darleen Gumzo

Mwanamuziki wa Bongo Fleva ambaye pia ni dada wa staa wa muziki nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Mwanahawa Abdul ‘Queen Darleen’...

READ MORE

Kucha za Amber Rutty Noma

KUCHA za msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Mascat Aboubakary ‘Amber Rutty’ zimewaacha watu midomo wazi kutokana na muonekano wake....

READ MORE

Ukaribu wa Lulu Diva Mama D Wazua Maswali

BAADA ya msanii wa Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ na mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’,...

READ MORE

Muonekano wa Uwoya Washtua

MUONEKANO wa msanii wa filamu za Kibongo, Irene Uwoya kwenye picha inayosambaa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram, umewashtua wengi...

READ MORE

Mjengo Mpya wa Lyyn Waibua Maswali

  KAMA ulikuwa hujui, habari ikufikie kwamba, mrembo Lyyn amehamia kwenye mjengo mwingine wa maana huko Masaki jijini Dar. Lakini...

READ MORE

Mama Atoa Neno Wema, Aunt Kutifuana

BAADA ya hivi karibuni mastaa wa filamu waliokuwa mashosti, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel kugombana, na sasa hakuna anayezungumza na...

READ MORE

Tanasha Kumburuza Diamond Mahakamani, Ataka Mali Nusu kwa Nusu

MREMBO na mwanamuziki, raia wa Kenya, Tanasha Donna, anasemekana amempeleka mwanamuziki nyota wa Tanzania, Diamond Platnumz, mahakamani akitaka wagawane mali...

READ MORE

Albamu Mpya, Harmonize Kuangusha Balaa Mlimani City Leo

MSANII wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul Kahali, maarufu kwa jina la Harmonize,  ameweka wazi kuwa anaachia album yake mpya leo...

READ MORE

Z Anto Afungukia Ugomvi wa Wastara, Binti Kiziwi

IMEIBUKA stori hivi karibuni ambayo inaendelea kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari kuhusu ugomvi wa video...

READ MORE

Mzee Yusuf Arudi Kwenye Muziki ‘Nitaimba Mpaka Nigaragare’

ALIYEKUWA mwimbaji maarufu wa muziki wa taarab nchini, Mzee Yusuf, amesema anatafuta pesa kwa ajili ya kurudi kwenye muziki ambapo...

READ MORE

BASATA Yajitosa Video Chafu ya ‘Abdu Kiba’

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema wanalifuatilia suala la msanii Abdu Kiba linalomhusisha na kuvuja kwa video isiyokuwa na...

READ MORE

Staa wa Uganda Atua Bongo Kusaka Kolabo

MSANII wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Uganda, Namukwaya Hajara Diana, maarufu kwa jina la ‘Spice Diana’ ametua Bongo...

READ MORE

Top Five Warembo Wanaokimbiza Bongo Fleva

MIAKA ya nyuma warembo kufanya muziki hususan wa Bongo Fleva, ilikuwa ni ngumu kidogo.  Walishindwa kushindana na vijana wa kiume....

READ MORE

Vilio Safari ya Mwisho ya Baba Kanumba; “Msalimie Mwanao” – Video

VILIO, simanzi na majonzi vilitawala wakati wa mazishi ya baba mzazi wa aliyekuwa muigizaji maarufu wa Bongo Movies, Steven Kanumba,...

READ MORE

Young Killer Amponza Wolper

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Erick Msodoki ‘Young Killer’ amemponza staa wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper ambaye amejikuta akioga maneno...

READ MORE