×

Global TV Online

Polisi Watoa Taarifa Kuhusu Hali ya Usalama Asubuhi ya Leo – Video

Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kwa umma leo Jumatano, Desemba 10, 2025, likielezea hali ya ulinzi na usalama nchini...

READ MORE

Waziri Simbachawene Awapongeza Askari kwa Kulinda Amani Kufuatia Fununu za Maandamano – Video

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, ametoa pongezi kwa askari wa vikosi vya ulinzi na usalama kwa...

READ MORE

Chalamila: Msipotoshwe, Hali ya Usalama Iko Vizuri Jijini Dar – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amezungumza na Global TV akitoa tathmini ya hali ya ulinzi na...

READ MORE

Simbachawene: Hakuna Tishio la Kuzimwa Internet Tanzania, Hali ya Usalama Ni Shwari – Video

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema kuwa hatua ya kuzima mtandao wa intaneti nchini ni chaguo...

READ MORE

Simbachawene Awapa Polisi Maagizo Mapya ya Kukamata Watuhumiwa – Video

George Simbachawene Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi, ameagiza jeshi la polisi kuhakikisha kuwa taratibu za ukamataji watuhumiwa zinafanyika...

READ MORE

Video: PM Mwigulu Awasilisha Ujumbe wa Rais Samia Kuhusu Sikukuu ya Uhuru

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasilisha rasmi ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea maadhimisho ya miaka...

READ MORE

Sheikh Mkuu wa Tanzania Awataka Watanzania Kuendeleza Uchumi Bila Kuvuruga Amani – Video

Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakar Bin Zubeir, amewataka Watanzania wanaoishi nje ya nchi kutumia fursa zilizopo kwa ajili ya...

READ MORE

CCM Yaonya Watumishi wa Umma Kuhusu Uwajibikaji na Utoaji Huduma kwa Wananchi – Video

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Kenani Kihongosi, ametoa wito kwa watumishi wa umma kutekeleza...

READ MORE

Video: Chalamila Aitaka TANESCO Kuchunguza Kauli ya Padri Kitima

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameielekeza TANESCO kuchukua hatua na kuchunguza kwa kina kauli iliyotolewa na...

READ MORE

Video: Polisi Yapiga Marufuku Maandamano ya Desemba 9, Yasifanyike Nchi Nzima

Jeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku “maandamano ya amani yasiyo na kikomo,” yaliyotangazwa kufanyika Desemba 9, 2025, likisema yamekosa sifa...

READ MORE

Saleh Jembe Avunja Ukimya Kuhusu Tetesi za DP World na Simba – Video

Mchambuzi mahiri wa soka nchini, Saleh Jembe (@salehjembefacts), ametolea ufafanuzi tetesi zinazozagaa mitandaoni kuhusu kampuni ya DP World kudaiwa kuwa...

READ MORE

Niffer Awashukuru Watanzania Baada ya Kuachiwa Huru – Video

Mfanyabiashara maarufu Jennifer Jovin, anayejulikana mtandaoni kama Niffer ameishukuru serikali na wananchi kwa mshikamano waliomuonyesha kipindi chote alichokuwa akishikiliwa hadi...

READ MORE

Video Vixen Genno Acharuka “Nilikopwa Kwenye Video ya Diamond na Baba Levo” – Video

Video vixen maarufu Genno ameibua gumzo baada ya kufichua kuwa aliwahi kukopwa malipo katika moja ya video aliyocheza akiwashirikisha wasanii...

READ MORE

Rais Samia: Matukio ya Oktoba 29, Yalipangwa kwa Lengo la Kuangusha Dola – Video

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema matukio yaliyotokea kuanzia Oktoba 29, 2025 na kuendelea yalikuwa matukio ya kutengenezwa ambayo yalikuwa...

READ MORE

Video: Rais Samia Atoa Onyo Kali Dhidi ya Wachochezi wa Amani ya Taifa

Akizungumza katika Mkutano na Wazee wa Dar es Salaam, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE

Tume Ya Uchunguzi Yaanza Kazi: Jaji Chande Aeleza Mambo 6 Makuu Yatakayochunguzwa – Video

Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...

READ MORE

Mahakama Kuu Yatupilia Mbali Kesi dhidi ya Viongozi wa CHADEMA – Video

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kesi ya kudharau amri ya Mahakama iliyokuwa imefunguliwa na aliyewahi...

READ MORE

Maswali 7 magumu kwa Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kuhusu vurugu za Oktoba 29 Tanzania

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Novemba 25, 2025 alikutana na wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, na maswali...

READ MORE

PM Mwigulu Atoa Takwimu Zilizotikisa Taifa Baada ya Vurugu Oktoba 29 – Video

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 25, 2025 amesema kiwango cha uharibifu kilichotokea katika maeneo mbalimbali nchini haikubaliki na...

READ MORE

Msando: Serikali Haina Ajenda ya Siri Dhidi ya Askofu Gwajima – Video

Serikali imesisitiza kuwa hakuna mtego wala mpango wowote wa kumkamata Askofu Dkt. Josephat Gwajima kufuatia hatua ya kufunguliwa kwa Kanisa...

READ MORE

Mwanamke Aliyedhaniwa Amefariki Azinduka Ndani ya Jeneza Thailand

Mwanamke mmoja nchini Thailand aliwashangaza na kuwaogopesha wafanyakazi wa hekalu baada ya kuanza kusogea akiwa ndani ya jeneza lake akiwa...

READ MORE

Polisi Wakamata Wahamiaji Haramu 14 Kwenye Gari la Abiria – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume cha sheria...

READ MORE

Video: Mume Aliyekatwa Nyeti Afunguka Mazito ‘Nimemsamehe Mke Wangu’

Baraka Melami (40) mkazi wa Kitongoji cha Juhudi katika Kijiji cha Olevolosi, Arumeru, Arusha aliyedai kukatwa nyeti na mkewe usiku...

READ MORE

Polisi Dar Waimarisha Usalama Kabla ya Mchezo wa Simba na Petro Atletico – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linaendelea kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama pamoja...

READ MORE

Rais SamiAwatunuku Shahada ya Kwanza ya Sayansi ya Kijeshi Wahitimu 106 wa TMA Monduli – (Video +Picha)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza mahafali ya Chuo...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Atunuku Kamisheni Kwa Maafisa Wanafunzi Wa JWTZ, Monduli (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anongoza hafla ya kutunuku Kamisheni...

READ MORE

Rais Samia Aitaka Tume Kuchunguza Kauli za Makundi Wakati wa Vurugu Nov. 29 – Video

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema moja ya mambo yanayotarajiwa kuchunguzwa Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa...

READ MORE

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete Atunuku Shahada kwa Wahitimu wa Mahafali ya 55 ya Chuo Kikuu cha Dar

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,...

READ MORE

Tanzania Yapokea Mabaki ya Joshua Mollel Aliyeuawa na Hamas, Mazishi Kufanyika leo Manyara

Mabaki ya mwili wa Kijana Joshua Mollel aliyeuwawa nchini Israel na wapiganaji wa HAMAS Oktoba 07, 2023 yamewasili Novemba 19,...

READ MORE

Machumu Ateuliwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Tido Mshauri wa Rais – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya uongozi katika Kitengo cha Mawasiliano Ikulu...

READ MORE

Kihongosi: Chama Kitaimarisha Usimamizi wa Utekelezaji wa Ilani – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa kitaisimamia kikamilifu Serikali ili kuhakikisha utekelezaji wa ilani na maono ya Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Nana Dollz Afunguka Baada ya Kununua Range Rover “Mwaka Mgumu Lakini Mungu Amenisaidia”

Mwanamitandao maarufu Nasma Hassan Athuman anayejulikana kama Nana Dollz, amefanikisha kununua gari la kifahari aina ya Range Rover Velar SUV...

READ MORE

Chalamila Aagiza Huduma za Mwendokasi Kurejea Mbagala Novemba 20 – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameagiza kurejeshwa kwa huduma za mabasi ya mwendokasi katika kituo cha...

READ MORE

MC Pilipili Afariki Kwa Kupigwa na Watu Wasiojulikana – Video

Kaka wa marehemu Emmanuel Mathias, maarufu kama MC Pilipili, amesema matokeo ya uchunguzi wa awali yanaonyesha kwamba kifo cha mdogo...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Mawaziri Wapya Na Manaibu, Makonda (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kuwa dhamana alizowapa Mawaziri na Manaibu Mawaziri wapya...

READ MORE

Rais Samia Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri, Orodha Ipo Hapa – (Picha +Video)

Dodoma, Tanzania — Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza leo Novemba 17, 2025 Baraza...

READ MORE

Polisi Waanza Uchunguzi wa Kifo cha MC Pilipili Dodoma – Video

Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma, kupitia kwa Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Gallus Hyera, amesema linaendelea kufanya uchunguzi kuhusu chanzo...

READ MORE

Rais Samia Amteua Joel Nanauka Kuongoza Wizara Mpya ya Vijana – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Joel Nanauka kuwa Waziri wa Vijana, wizara mpya...

READ MORE

Maumivu! Akatwa Ulimi Mara 6 Kutokana Na Saratani, Sasa Anahitaji Milioni 55 Ili Kuokoa Maisha Yake – Video

Ni maumivu yasiyoelezeka! Mwanamama Zainabu, mkazi wa Mbezi Makabe jijini Dar, anapitia kipindi kigumu baada ya kukatwa ulimi mara sita...

READ MORE

Video: Kanisa Katoliki Walaani Vifo Vilivyotokea Kwenye Vurugu Siku Ya Uchaguzi – Askofu Wolfgang Afunguka

Kanisa Katoliki Nchini, kupitia kwa Rais wa TEC Askofu Wolfgang Pisa limetoa tafakuri ya pamoja ya Maaskofu wa Kanisa hilo,...

READ MORE