Siku mbili baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kutangaza kumvua ubunge aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, Chama...
READ MOREKIJANA anayejulikana kwa jina la Ramadhani Salum Mohamed mkazi wa Mbeya amewka Historia ya aina yake na ya kizalendo baada...
READ MOREUnaambiwa hayawi hayawi, mwishowe yamekuwa! ile siku ya harusi ya mchekeshaji maarufu nchini, Emmanul mathias aka MC Pilipili na mchumba...
READ MOREJESHI la Polisi mkoani Mara linamsaka Mniko Chacha (20) mkazi wa Kijiji cha Kitagutiti Kata ya Mbogi Wilaya Tarime mkoani...
READ MOREBenki kuu ya Tanzania (BOT), leo Juni 29, imekabidhiwa madini, fedha na vito mbalimbali viliyotaifishwa na serikali vilipokuwa vinatoroshwa nje...
READ MORERAIA tisa wa Tanzania na raia wawili wa Msumbiji wameuawa na watu wasiojulikana huku Watanzania wengine sita wakijeruhiwa vibaya katika...
READ MOREUjumbe wa Kamati Kuu Taifa wa CCM, umefanya ziara ya kutembelea miradi mikubwa ya inayotekelezwa na serikali ya awamu ya...
READ MOREMBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe, amesema kuna umuhimu wa Bunge kuipangia serikali ya kiasi cha fedha inachotakiwa kukopa...
READ MOREMBUNGE wa Nzega Mjini (CCM), Hussein Bashe, ameishauri Serikali ya Tanzania kuruhusu wakulima wa pamba kuuza moja kwa moja zao...
READ MOREWabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Juni 25, wamepiga kura ya maoni na kupitisha Bajeti Kuu...
READ MORE RAIS John Magufuli amemruhusu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kwenda nchini Misri...
READ MORESpika wa Bunge, Job Ndugai, amemjibu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kufuatia kauli aliyoitoa leo mbele...
READ MOREMWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Taifa Gas Tanzania Ltd. mfanyabiashara Rostam Aziz, amemshukuru Rais John Magufuli kwa...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo June 25, 2019, anazindua ghala na Mitambo ya...
READ MORESpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job ndugai na baadhi ya wabunge walioshiriki kwenda kuipa sapoti timu...
READ MORENi uchambuzi wa magazeti kutoka +255 Global Radio, Juni 25, 2019, leo tunauliza, Je, Unahisi uwepo wa maabara zisizo rasmi...
READ MOREWabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Juni 25, wanapiga kura ya maoni ya kupitisha Bajeti Kuu...
READ MORE MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela, leo Juni 20, 2019, akiongea na wanahabari makao makuu ya klabu hiyo, ametoa kauli...
READ MORE Mahakama ya Afrika ya Mashariki, imetupa mbali maombi ya dharura ya viongozi wa vyama vya upinzani nchini Tanzania, wakiongozwa...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri amewaasa madiwani kutumia vizuri madaraka waliyonayo katika kuleta maendeleo kwa wananchi. Mwanri...
READ MORE