×

Habari

Yaliyojiri Leo Katika Mkutano wa 5 wa Bunge la 11 Mjini Dodoma

DODOMA: Mkutano wa tano wa Bunge la 11 umeanza leo mjini Dodoma, Novemba mosi ambapo pamoja na mambo mengine wabunge...

READ MORE

Boniface Jacob Ashinda Uchaguzi wa Meya Manispaa Ubungo

Diwani wa Kata ya Ubungo ambaye pia alikuwa Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kabla madiwani wake hawajagawanyika, Boniface...

READ MORE

Mke wa Lema Aburuzwa Mahakamani kwa Kumtusi Mkuu wa Mkoa Arusha

Mke wa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema aitwaye Neema Tarimo amefikishwa mahakamani mkoani Arusha kwa kosa la kumtusi Mkuu...

READ MORE

Meek Mill Afungukia Bifu Lake na Drake, Wale, The Game, Beanie Sigel, Quentin Miller na Safaree.

Philadelphia: Baada ya interview kufanyika wiki iliyopita kati ya Tax Season na Rapper kutoka katika Mji wa Philadelphia, Meek Mill...

READ MORE

Taarifa Ya Mafanikio Ya Hospitali Kwa Kipindi Cha Mwaka Mmoja

  TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MAFANIKIO YA HOSPITALI KWA KIPINDI CHA MWAKA MMOJA WA AWAMU YA TANO YA UTAWALA WARAIS...

READ MORE

Muhimbili Yakusanya Sh. Bilioni 4.6

Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano ya umma wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Aminiel Eligaesha akizungumza na wanahabari Akisoma taarifa yake...

READ MORE

Barua ya Aliyoiandika Tupac Akiwa Gerezani Yauzwa kwa Dola 172,75

IKIWA ni miaka 20 tangu kifo cha aliyekuwa rapa mkongwe, Tupac ambaye mpaka sasa bado yumo kwenye mioyo ya wapenzi...

READ MORE

China Yaonesha Hadharani Ndege Zake Mpya za Kivita

Ndege ya kusafirisha mizigo ya Y-20 pia imezinduliwa katika maonesho hayo ya Zhuhai China imeonesha hadharani ndege zake mpya za...

READ MORE

Mali za Mohamed Trans Yakiwemo Mabasi Kupigwa Mnada

Mali za Kampuni ya Mohamed Trans Limited yakiwemo mabasi yake vitapigwa mnada na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kufidia...

READ MORE

Lowassa, Sumaye Waibukia Bungeni Mjini Dodoma

DODOMA: Aliyekuwa Mgombea wa Urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye leo asubuhi wamehudhuria...

READ MORE

Ugandan Lecturer Strips In Protest

A Ugandan lecturer’s naked protesting has caused an uproar in the country. Dr Stella Nyanzi of the Makerere Institute of...

READ MORE

Video: Kiongozi wa Upinzani Uganda, Kizza Besigye Azichapa na Polisi

UGANDA: Aliyekuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya FDC, Dkt Kizza Besigye ameingia kwenye mtifuano mpya na Jeshi la Polisi la...

READ MORE

Bondia Thomas Mashali Kuzikwa Kesho, Dar

Dar es Salaam: Mazishi ya bondia Thomas Mashali aliyeuwawa kwa kupigwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia jana yanatarajia kufanyika...

READ MORE

Video: ‘Makonda’ Feki Awatapeli Wachina Mil 22.8, Dar

Dar es Salaam. Raia wa China wametapeliwa fedha taslimu Sh 22.8 milioni wakidai kuwa sauti waliyoisikia kwenye simu ya kiganjani...

READ MORE

Video: Mtihani wa Kidato cha Nne Kuanza Leo, NECTA Yatoa Onyo Kali

WATAHINIWA 408,442 wamesajiliwa na Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne unaotarajia kuanza leo hadi Novemba...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumanne Novemba 1, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzani leo Jumanne Novemba 1, 2016. Pia usikose kutembelea...

READ MORE

Serikali Yahakiki Vyeti vya Ndoa, Walimu Wajiandaa Kugoma

Gazeti la Tanzania Daima lemieripoti kuwa Serikali imeanza uhakiki wa vyeti vya ndoa kwa watumishi wa umma. Hatua hiyo ambayo...

READ MORE

Idara ya Anga ya Etihad Kutoa Fursa za Ajira 425,000 Afrika

Pichani: Afisa Mtendaji Mkuu wa Idara ya Anga ya Etihad, James Hogan. Idara ya anga ya Shirika la ndege la...

READ MORE

Taarifa ya Ikulu Kuhusu Ziara Ya Rais Magufuli Nchini Kenya

  VIDEO: Hotuba ya Rais Magufuli na Rais Uhuru Kenyatta baada ya kuwasili Kenya

READ MORE

Rais Santos wa Angola ‘Kortini’ kwa Tuhuma za Upendeleo

Mahakama ya Kuu ya Angola imempa siku 8 Rais Jose Eduardo dos Santos kwenda mahakamani kujibu tuhuma za kumteua binti...

READ MORE

Baba Mashali Asimulia Mazito Kifo cha Mwanaye

   Baba mzazi wa marehemu Thomas Mashali, Malifedha Mashali  akitoa ufafanuzi juu ya msiba huo. BABA mzazi wa aliyekuwa bondia...

READ MORE

Kwenye ‘Mpunga’ Trump si Mtu wa Mchezo Mchezo!

Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya Republican, Donald John Trump.  Ndege ya Donald Trump  Boeing 757, yenye thamani ya...

READ MORE

Video: Alichokisema Rais Magufuli Baada ya Kuwasili Kenya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akikagua gwaride, Ikulu Nairobi, Kenya. Akiendelea akikagua gwaride.  ...

READ MORE

Bondia Thomas Mashali Adaiwa Kuitiwa Kelele za Mwizi, Auawa kwa Kipigo!

 DAR ES SALAAM: Bondia Thomas Mashali maarufu kama ‘Simba Asiyefugika’ ameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kupigwa na watu wasiojulikana...

READ MORE

Kampuni ya Bima ya Clarckson Yazinduliwa Dar, TPSF Yakaribisha Ubunifu Sekta ya Hiyo

Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa Kampuni ya Clarkson Insurance Brokers inayojishughulisha na masuala ya bima Bw. Godfrey Simbeye ambaye ni...

READ MORE

Wanahabari Dodoma Watembelea Miradi ya Uwekezaji ya LAPF

Baadhi ya Maofisa wa LAPF pamoja na waandishi wa Habari wakitembelea mradi wa mabweni katika Chuo cha Serikaliza Mitaa cha...

READ MORE

Chadema Wafanya Uchaguzi wa Wajumbe 5 wa Kamati Kuu ya Chama

CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA Kwa mujibu wa Katiba ya Chama, Ibara...

READ MORE

Msajili wa Mahakama Kuu Dar Ajitoa Kesi ya Babu Tale

DAR ES SALAAM: Msajili wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Projest Kahyoza amejitoa katika kusikiliza shauri linalowakabili Wakurugenzi wa...

READ MORE

Rais JPM Aondoka Nchini Kwenda Kenya Kwa Ziara ya Siku Mbili

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 31 Oktoba, 2016 ameondoka nchini kuelekea...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Umri wa Miss Tanzania 2016/2017, Hajawahi Kujiunga na Chuo Kikuu Chochote

MWANZA: Usiku wa Jumamosi, Oktoba 29, 2016 mrembo wa Kinondoni, Diana Edward Loy alitwaa taji la Miss Tanzania 2016 katika...

READ MORE

Wasanii Watakaokuwepo Katika Tigo Fiesta Dar, Jaz Z Ni Uzushi Wa Mitandao

Kumetokea uzushi kuwa msanii maarufu duniani,  Jay Z,  atakuwepo katika Tamasha la  Tigo Fiesta 2016 litakalofanyika Novemba 05 mwaka huu...

READ MORE

Serikali Yapiga Stop Mpango wa Mchungaji Lwakatare na Mrema Kuwalipia Faini Wafungwa

Serikali imesitisha shughuli iliyokuwa ikiendeshwa na Mchungaji Getrude Lwakatare ya kuwalipia faini wafungwa walioko magerezani hadi hapo utaratibu mwingine utakapotolewa....

READ MORE

Rais Magufuli Kufanya Ziara Ya Kiserikali Ya Siku 2 Nchini Kenya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 31 Oktoba, 2016 ataanza ziara ya Kiserikali...

READ MORE

HESLB Yafafanua Vigezo Utoaji Mikopo, Waliokosa Sababu Zatajwa, Wapewa Nafasi ya Kuomba Upya

DAR ES SALAAM: Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa ufafanuzi kuhusu vigezo inavyotumia katika kuchambua,...

READ MORE

Polisi azua GUMZO Baada ya Kumpigia Saluti ProF. Lipumba

DAR ES SALAAM: Kitendo cha askari polisi kumpigia saluti Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili...

READ MORE

Wakazi wa Morogoro Wanufaika na Gulio la Smart Phone la Vodacom Tanzania

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,wakimsikiza kwa makini Bw. Robert Mwaisambo Mkazi wa Morogoro, alipofika kununua simu katika gulio la Smart phone liliondandaliwa...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumatatu Oktoba 31, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzani leo Jumatatu Oktoba 31, 2016. Pia usikose kutembelea...

READ MORE

Picha&Video: Basi na Lori Vyateketea Baada ya Kugongana Kimara, Dar

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 20 wakijeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Safari Njema lililokuwa likitokea mkoani Dodoma...

READ MORE

Yanga Yaishushia Kichapo cha Mabao 3-0 Mbao FC

Wachezaji wa Yanga wakishangilia ushindi baada ya kuichapa mabao 3-0 timu ya Mbao FC kwenye mechi ya Ligi Kuu Tanzania...

READ MORE

Wakazi wa Morogoro Wanufaika na Gulio la Smart Phone la Vodacom Tanzania

Wakala wa Vodacom Tanzania, Abdallah Magala akimfafanulia jambo Alen  Anatory ambaye ni mkazi wa Morogoro, kuhusiana na simu aliyonunua katika...

READ MORE