×

Habari

Haya ndiyo maneno ya Kitwanga kuhusu Kutumbuliwa na rais Magufuli

ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa jimbo la Misungwi, Charles Kitwanga (CCM) amezungumzia jinsi alivyopokea...

READ MORE

Mshindi wa Nyumba ni Nelly Mwangosi wa Iringa

Meya wa Wilaya ya Temeke, Abdallah Chaurembo akisoma jina la mshindi wa nyumba, ambaye ni Nelly Mwangosi kutoka Iringa. https://www.youtube.com/watch?v=63utCkhhHso...

READ MORE

Ajali Yaua 25 Singida

Watu 25 wamefariki dunia, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya mabasi mawili kugongana huko wilayani Manyoni mkoani Singida. Mabasi hayo...

READ MORE

Hizi Hapa Huduma za PSPF ndani ya Maonyesho ya Sabasaba

 Julita N Mongi, mwanachama mpya wa PSPF kupitia mpango wa uchangiaji wa hiari, PSS, akionyesha kitambulisho chake cha uanachama alichokabidhiwa...

READ MORE

Wakili, mteja wake & dereva taksi wauawa

MAMIA ya watu wameandamana jijini Nairobi, Kenya kupinga mauaji ya kiholela ambayo yanadaiwa kutekelezwa na maofisa wa usalama nchini humo....

READ MORE

Amepotea! Anatafutwa na Familia Yake

Bwana Philemon Anamwikira Ikaa Munuo, Anayeoneka Kwenye Picha Hapo juu anaitwa Philemon Anamwikira Ikaa Munuo, umri miaka (61) ametoweka kuuanzia...

READ MORE

Kitwanga Arejea Jimboni Kwake, Akutana na Wanahabari

Mbunge wa Jimbo la Misungwi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Charles Kitwanga. Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi...

READ MORE

Beatrice Shelukindo Kuzikwa Alhamis Jijini Arusha

MWILI wa Mbunge wa zamani wa Kilindi, Beatrice Shelukindo (CCM), unatarajiwa kuzikwa Alhamis wiki hii. Taarifa iliyotolewa jana na kaka...

READ MORE

Watu 120 wauawa kwa bomu Iraq

Serikali ya Iraq imetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia maafa yaliyotokwea kutokana na shambulio la bomu ambalo limeua...

READ MORE

Mama Samia ‘ampa tano’ Mboni Masimba

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mama Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla hiyo. Stori: Imelda Mtema,...

READ MORE

Mkazi wa Mwanza Ajishindia Mil 20 za Promosheni ya Vodacom

Meneja Uendelezaji wa Masuala ya Kibiashara wa Vodacom Tanzania (Business Continuity Management), Ajit Mistry (kushoto) na Afisa msimamizi wa michezo...

READ MORE

Bomu Laua 79 Baghdad

Zaidi ya watu 79 wamefariki dunia katika mashambulio mawili ya mabomu yaliyokumba mji mkuu wa Iraq Baghdad. Watu wengine 130...

READ MORE

Sigara na Mshumaa vyasababisha vibanda 500 kuteketea

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi. Sengerema, Mwanza KATIKA matukio mawili tofauti moto umeteketeza vibanda zaidi ya  500...

READ MORE

Afya ya Kiongozi wa Korea Kaskazini ipo matatani

Na Leonard Msigwa Afya ya kiongozi wa taifa la Korea Kaskazini, Kim Jong ipo matatani baada ya kuripotiwa kusumbuliwa na...

READ MORE

Fanya hivi ili kuweka bold na italic kwenye WhatsApp

WATU wengi husumbuka sana wanapoandika ujumbe kwenye mtandao wa WhatsApp kutokana na hali kwamba herufi huwa na uzito sawa wa...

READ MORE

Makonda Atangaza Msako kwa ‘Mashoga’ Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Dar es Salaam KUTOKANA na kuongezeka kwa vitendo vinavyoashiria kuwepo kwa...

READ MORE

Majengo ya Mahakama ya Mafisadi Kukabidhiwa Jumatatu

WAKATI Mahakama Maalumu ya Ufisadi na Uhujumu Uchumi ikitarajiwa kuanza wakati wowote, majengo ya mahakama hiyo yanatarajiwa kukabidhiwa keshokutwa jumatatu....

READ MORE

TRA Yafafanua Kuhusu VAT Kwenye Huduma za Kifedha

UPOTOSHAJI kuhusu makato ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) katika miamala ya benki na simu za mikononi, uliotangazwa na...

READ MORE

Washia Nchini Wawalilia Wapalestina (Quids)

  Kiongozi Mkuu wa Waislam, Dhahebu la Shia Ithnasheriya Tanzania, Sheikh Hemed Jalala leo amewaongoza Waislamu wa Dhehebu ya Shia...

READ MORE

Basi lapasuka gurudumu, abiria zaidi ya 50 wanusurika kifo!

  Basi la Bongo Records lenye namba za usajili T 200 CAC jana limepata ajali katika eneo la Ngesha katika...

READ MORE

Airtel: Taarifa kwa Umma Kuhusu Uzimaji wa Simu Bandia

TAARIFA KWA UMMA Kufuatia kutimiza agizo la uzimaji wa simu bandia, kutokana na agizo elekezi la Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania...

READ MORE

Ajali ya Magari 3 Yaua 11 Dakawa, Moro

Habari zilizotufikia hivi punde ni kuhusu ajali mbaya iliyotokea eneo la Veta Dakawa mkoani Morogoro ikihusisha basi la Kampuni ya...

READ MORE

Mjadala wa Sakata la Lugumi Bungeni wazikwa rasmi

Kiu ya wabunge kujadili sakata la utekelezwa mbovu wa mkataba baina ya Jeshi la Polisi na kampuni ya Lugumi Enteprises...

READ MORE

Mama aruhusiwa kutumia mayai ya uzazi ya bintinye ili kumzaa mjukuu

Mwanamke ambaye anataka kutumia mayai ya uzazi ya bintinye ili kumzaa mjukuu wake ameshinda kesi mahakanani na kuruhusiwa kufanya hivyo....

READ MORE

Rais Kagame awasili Ikulu Dar kwa ziara ya siku 2

Rais wa Rwanda,Paul Kagame amewasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere  leo na Kupokelewa na Mwenyeji wake Rais...

READ MORE

Takukuru wamtaja tajiri anayeingiza Sh. Mil 7 kila dakika

By Julius Mathias SIKU moja baada ya Rais John Magufuli kueleza juu ya hujuma ya uchumi inayofanywa na mtu anayeingiza...

READ MORE

Afrika Yaongoza kwa Usafirishaji Haramu wa Binadamu

WIZARA ya mambo ya nje ya Marekani inatoa kila mwaka ripoti ya biashara ya usafirishaji haramu wa binadamu na kwa...

READ MORE

Makanisa 60, Misikiti 20, Hoteli 10 na Klabu Vyafungwa Lagos kuepuka kelele

Lagos, Nigeria MAMLAKA ya Jiji la wa Lagos nchini Nigeria umefunga makanisa 60 na misikiti 20 katika ikiwa ni jitihada...

READ MORE

Tundu Lissu asomewa shtaka, akana na kuachiwa kwa dhamana

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu Dar es Salaam MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) amesomewa shitaka lake la...

READ MORE

Wabunge watatu CHADEMA wasimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge

Mbunge wa Mbeya mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasi na  Maendeleo (CHADEMA), Joseph Mbilinyi amesimamishwa kuhudhuria na vikao 10...

READ MORE

Wapalestina nchini kuadhimisha siku ya Quids kesho

Kiongozi Mkuu wa kiroho wa Waislam Dhehebu la Shia Ithnasheriya Tanzania Sheikh Hemed Jalala (Katikati) akifafanua jambo kuhusu maswala ya...

READ MORE

Droo Kubwa ya Shinda Nyumba… Wakati Umewadia!

LEO ndiyo leo, ile bahati nasibu kabambe ya Shinda Nyumba na Global Publishers, droo kubwa itakayofanyika baadaye leo jioni katika...

READ MORE

Mfuko wa Pensheni wa LAPF Unawakaribisha Katika Banda Lao Sabasaba

Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF wakiwa katika banda lao lililopo Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) kwenye...

READ MORE

Saa kumi ‘net’ mshindi hewani

LEO ndiyo leo asemaye kesho mwongo. Mshindi wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba atajulikana saa kumi kamili jioni hii, baada...

READ MORE

Sugu Asimamishwa Vikao 10 vya Bunge

Mbunge wa Mbeya Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesimamishwa kuhudhuria vikao 10...

READ MORE

Ukawa wavaa nguo nyeusi, wabeba mabango ya ujumbe kwa JPM, Dkt. Tulia

WABUNGE wa Kambi Rasmi ya Upinzani leo asubuhi wameingia bungeni wakiwa wamevalia nguo nyeusi wote walipohudhuria kikao cha 54 cha...

READ MORE