×

Habari

Bolt Yazindua Kituo Cha Huduma Kwa Madereva Ili Kuimarisha Uhusiano Wao Nchini Tanzania

Dar es Salaam, Juni 14, 2024: Bolt, Kampuni inayoongoza kwa huduma za usafirishaji Tanzania na Barani Afrika, imezindua kituo cha...

READ MORE

Heineken Yazindua ‘Afterwork’ By Heineken Nchini Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania – 14 Juni 2024 –Wafanyakazi nchini Tanzania walipata fursa ya kipekee ya kupumzika siku ya Alhamisi,...

READ MORE

Balozi Nchimbi Bungeni Akifuatilia Bajeti

Matukio mbalimbali katika picha, yakimuonesha Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akiwa ndani na...

READ MORE

Uegeshaji wa Malori Mikumi Watajwa Kuchangia Uhalifu, Ajali na Biashara Haramu

 Kutokana na kuwepo na vituo vya uegeshaji magari makubwa ya Mizigo holela wa katika eneo la Mikumi(Kidoma na Green) Wilaya...

READ MORE

Bajeti ya Serikali 2024/2025: Marufuku Kulipa Kwa Fedha za Kigeni – Video

Serikali imeelekeza kuanzia Julai 1, 2024, wadau wote wa ndani, taasisi za umma, wafanyabiashara, asasi za kiraia, mashirika ya kimataifa...

READ MORE

Rais Samia na Wasaidizi wake wafuatilia Bunge la Bajeti Kuu ya Serikali 2024/25

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Wasaidizi wake wakati akifuatilia Bunge la Bajeti...

READ MORE

Naibu Katibu Mkuu Zuhura Awasili Ofisini Rasmi Mtumba jijini Dodoma

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Zuhura Yunus amewasili rasmi ofisini na...

READ MORE

Polisi Wamkamata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Yahaya Nawanda

Jeshi la polisi limemkamata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Yahaya Nawanda (46) kwa tuhuma za kumwingilia kinyume na maumbile...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Viongozi Mbalimbali Ikulu Chamwino, Dodoma

    Rais Samia amemuapisha pia Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na amemuapisha pia Stanslaus Haroon...

READ MORE

Waziri Mkuu: Tunawasaidia Wawekezaji Wazawa Kuwa Mahiri

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kuwajengea uwezo Watanzania wanaojishughulisha na masuala ya uwekezaji na kuweka mazingira wezeshi ili...

READ MORE

Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk Shogo Mlozi Afariki

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ametangaza kifo cha Mbunge wa Bunge la Afrika...

READ MORE

Benki ya Exim, Mpango wa Taifa wa Damu Salama Kuendesha Kampeni Mikoa Mitano

    Benki ya Exim kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) imeandaa mpango wa kitaifa wa...

READ MORE

Chama cha Inkatha Freedom na ANC kuunda serikali ya Afrika Kusini

Chama cha upinzani nchini Afrika Kusini Inkatha Freedom Party Jumatano kimetangaza kuwa kitashirikiana na chama tawala cha African National Congress...

READ MORE

Kocha wa Viungo Youssef Ammar Aondoka Yanga, Afunguka

ALIYEKUWA mtaalamu wa Viungo Yanga, Youssef Ammar amefunguka kuondoka katika klabu hiyo, hivyo hatakuwa sehemu ya Benchi la Ufundi la...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 13, 2024

Tunatoa zawadi kwako ewe msomaji ambapo kwa kununua GAZETI LA CHAMPIONI, utapata fursa ya kuzawadiwa jezi mpya za Simba na...

READ MORE

Balozi Nchimbi Aongoza Mapokezi ya Katibu Mkuu, Mgombea Urais wa Frelimo

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amewaongoza viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali, ngazi...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO

Rais Samia leo Juni 12, 2024 amefanya mazungumzo na Mgombea Urais wa Msumbiji kupitia Chama cha FRELIMO Ndugu Daniel Fransisco...

READ MORE

GGML yaahidi kuendelea kushirikiana na UDSM kudhamini tafiti, ubunifu

  Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeahidi kuendelea kushirikiana na Serikali kupitia Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Jinsi Nilivyomnasa Mama Mkwe Akiweka Hirizi Kwenye Chumba Ninacholala na Mke Wangu

Jina langu ni Sarah mkazi wa Kandara huko Muranga nchini Kenya. Nimekuwa nikiishi katika hali ya misukosuko ya mara kwa...

READ MORE

Chama cha Jacob Zuma chataka uchaguzi Afrika Kusini urudiwe

Chama cha tatu kwa ukubwa cha kisiasa nchini Afrika Kusini kimeiomba mahakama kuu ya taifa hilo kuzuia kuanza baadaye wiki...

READ MORE

Walimu Wakuu 20,661  wa Shule za Msingi  za Serikali na Binafsi Wapewa Mafunzo ya Mtaala wa Mwaka 2023

Jumla ya Walimu Wakuu 20,661  wa shule za msingi  za Serikali na Sizizo za serikali nchini wamepewa mafunzo kuhusu  utekelezaji...

READ MORE

Kiboko Ya Wachawi Alivyowaheshimisha Wanahabari Kwa Kufanya Nao Mkutano Baharini

Nabii Domonic maarufu Kiboko ya Wachawi anayeendeshea huduma za kinabii na uponyaji kwenye kanisa lake lililopo Buza jijini Dar wikiendi...

READ MORE

Waziri Silaa Amrejeshea Mama Kiwanja Chake Alichohangaikia Miaka 40 – Video

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemrejeshea eneo lake mama mmoja aliyejulikana kwa jina la mama...

READ MORE

Puma Tanzania Yampongeza Rais Dk. Samia Kwa Kuweka Mazingira Mazuri Ya Uwekezaji Ikikabidhi Gawio La Sh.Bilioni 12.2

Dar es Salaam 11 Juni 2024: Kampuni ya Mafuta ya Puma Tanzania imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Waziri Kairuki Ashiriki Baraza Tendaji La Shirika La Utalii Duniani

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeshiriki ufunguzi wa Mkutano wa 121 wa Baraza Tendaji la Shirika la Umoja...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Malawi afariki dunia katika ajali ya ndege

Taarifa kutoka Ofisi ya Rais ya Malawi imesema kuwa ndege iliyokuwa imembeba Makamu wa Rais wa nchi hiyo, Saulos Chilima...

READ MORE

Benki Ya Exim Yaja Na Kampeni ya Wateja Kushinda Gari Mpya, Bajaj na Fedha Taslimu

BENKI ya Exim Tanzania imezindua kampeni maalum inayolenga kuwashawishi wateja wake wanaomiliki simu za mkononi kufanya miamala zaidi kwa kutumia...

READ MORE

Timu 16 kushiriki CECAFA, Simba na Yanga ndani

TIMU za Tanzania zinazoshiriki michuano ya kimataifa zitapata nafasi nzuri ya kujiandaa na msimu mpya kwa kucheza na timu za...

READ MORE

Ndege Iliyombeba Makamu wa Rais wa Malawi Yaanguka

Wanajeshi, polisi na walinzi wa misitu wanaendelea kuitafuta ndege ya kijeshi iliyotoweka ikiwa na makamu wa Rais wa Malawi, mke...

READ MORE

Ronaldinho, George Weah, Okocha Washiriki Mashindano ya Dunia ya Vilabu vya Wachezaji Wastaafu

Dar es Salaam. Wachezaji mbalimbali nyota wa zamani wakiongozwa na Ronadihno Gaucho na Rais wa zamani wa Liberia, George Weah...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Atenguliwa, Kihongosi Ateuliwa Kuchukua Nafasi Yake

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Wilaya ya Momba, Kenani Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu akichukua nafasi...

READ MORE

Kuelekea Siku ya Uchangiaji Damu Duniani, Wananchi Watakiwa Kujitokeza Kuokoa Watu Wenye Uhitaji

KUELEKEA siku ya uchangiaji damu duniani Juni 14 wananchi wametakiwa kuchangia damu hasa wenye makundi adimu ya damu. Mwito huo...

READ MORE

Walimu 4 wa Chuo kikuu cha Marekani Wadungwa kisu Kwenye Bustani

  WALIMU wanne wa chuo kikuu nchini Marekani wamelazwa hospitalini baada ya kudungwa kisu na mtu asiyejulikana katika bustani ya...

READ MORE

Kupata Matibabu Kutoka kwa Madaktari Bingwa nje ya nchi Wacheki Tanlink Medical Tourism Agency

TANLINK MEDICAL TOURISM AGENCY ni taasisi ya Kitanzania inayojihusisha na kuratibu na kusimamia matibabu ya binadamu ndani na njea ya...

READ MORE

LATRA Yatangaza nauli za abiria wa Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Dar Mpaka Dodoma

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza nauli za abiria wa daraja la kawaida kwa Treni ya Reli ya Kisasa...

READ MORE

Kurasa za magazeti ya leo Jume 11, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Tigo Washirikiana Na Empower Limited Ili Kukuza Uwezeshaji Vijana Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania, 11 Juni 2024 – Kampuni inayoongoza kwa mtindo wa maisha wa kidijitali nchini Tanzania, Tigo, imetangaza...

READ MORE

NMB Yatoa Gawio La Kihistoria La Shilingi Bilioni 181 Kwa Wanahisa Wake

Wanahisa wa Benki ya NMB wameidhinisha gawio la Shilingi Bilioni 181, sawa na shilingi 361 kwa kila hisa moja kwa...

READ MORE